dist111
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 3,758
- 3,199
salama wakuu!
Naomba mnisaidie kubrain storm kidogo hapa!
Ninatarajia kwenda China January kuangalia buzzness opportunity ambayo inaweza kunitoa nikiileta Bongo! so nahitaji Ushauri wa aina hiyo ya biashara!
Hapa nina tiketi na kama 10M hivi nataka angalau zifike 20M, nikienda na nikipata mzigo mzuri niuuage umasikini! So guys any buzness ideas???
mm mawazo yangu yamestack kwenye electronics, nguo, furnitures na Hardware! ss naomba mawazo zaidi!!
Naomba mnisaidie kubrain storm kidogo hapa!
Ninatarajia kwenda China January kuangalia buzzness opportunity ambayo inaweza kunitoa nikiileta Bongo! so nahitaji Ushauri wa aina hiyo ya biashara!
Hapa nina tiketi na kama 10M hivi nataka angalau zifike 20M, nikienda na nikipata mzigo mzuri niuuage umasikini! So guys any buzness ideas???
mm mawazo yangu yamestack kwenye electronics, nguo, furnitures na Hardware! ss naomba mawazo zaidi!!