Ushauri: Ahamie wapi kati ya COSTECH na TAEC (Atomic Energy)

Ushauri: Ahamie wapi kati ya COSTECH na TAEC (Atomic Energy)

Mr SGR

Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
60
Reaction score
38
Wakuu naamini kazi zinaendelea! Msaada tafadhali,

mdogo wangu anahitaji kuhama toka wizarani kwenda moja kati ya mashirika haya COSTECH na TAEC( Atomic Energy) ameshapata barua za kukubaliwa anakohamia shida imebaki kuchagua aende ipi kati ya hizo mbili naomba mwenye kujua scale za salary za hizo taasisi na allowances zao nijue pia kama nitapata connection pale ofisi ya katibu mkuu utumishi itakua vema! Msaada wenu tafadhali wadau
 
Wakuu naamini kazi zinaendelea! Msaada tafadhali,

mdogo wangu anahitaji kuhama toka wizarani kwenda moja kati ya mashirika haya COSTECH na TAEC( Atomic Energy) ameshapata barua za kukubaliwa anakohamia shida imebaki kuchagua aende ipi kati ya hizo mbili naomba mwenye kujua scale za salary za hizo taasisi na allowances zao nijue pia kama nitapata connection pale ofisi ya katibu mkuu utumishi itakua vema! Msaada wenu tafadhali wadau
Kwani ukisema ni wewe utakufa mkuu? Kwanini unamsingizia mdogo wako?
 
Jamani na mie naongezea humuhumu,natafuta nafasi ya kuingia serikalini fani ya umeme cheti....hela ya soda ipo
 
Wakuu naamini kazi zinaendelea! Msaada tafadhali,

mdogo wangu anahitaji kuhama toka wizarani kwenda moja kati ya mashirika haya COSTECH na TAEC( Atomic Energy) ameshapata barua za kukubaliwa anakohamia shida imebaki kuchagua aende ipi kati ya hizo mbili naomba mwenye kujua scale za salary za hizo taasisi na allowances zao nijue pia kama nitapata connection pale ofisi ya katibu mkuu utumishi itakua vema! Msaada wenu tafadhali wadau
Mpaka unaomba kuhama hujui uende wapi na hujui unapoenda mshahara ni sh ngapi, alafu Kama umepata barua ya uhamisho Kuna haja gani kumtafuta katibu ?

Ukweli ni Bora kuliko chenga hizi utashindwa saidika
 
Mpaka unaomba kuhama hujui uende wapi na hujui unapoenda mshahara ni sh ngapi, alafu Kama umepata barua ya uhamisho Kuna haja gani kumtafuta katibu ?

Ukweli ni Bora kuliko chenga hizi utashindwa saidika
Sio barua ya uhamisho ni ya kujibiwa kuwa taasisi X nafasi za kuhamia zipo hivyo inabaki taratibu za kuhamia
 
Sio barua ya uhamisho ni ya kujibiwa kuwa taasisi X nafasi za kuhamia zipo hivyo inabaki taratibu za kuhamia
Kwa Nini aliomba kuhama bila kujua anaenda wapi, mkuu ninavyojua Mimi mtu anaomba kuhama tasisi fulani na anaenda taasisi Fulani na hiyo inatokea Kama umenusa dili
 
Andika barua peleka utumishi, haito chukua muda swala lako kwisha
 
Kwa Nini aliomba kuhama bila kujua anaenda wapi, mkuu ninavyojua Mimi mtu anaomba kuhama tasisi fulani na anaenda taasisi Fulani na hiyo inatokea Kama umenusa dili
Dili zilikua kuwili mkuu sema uamuzi ni kuchagua moja toa ushauri wako baina ya hizo 2
 
Dili zilikua kuwili mkuu sema uamuzi ni kuchagua moja toa ushauri wako baina ya hizo 2
Hapo ni kuchonga na mtu alieko kwa katibu wa idara aliekuwepo na inakoenda sema kwa tz hii mpka hela itembee
 
Back
Top Bottom