Ushauri: Ajenda za kuongea kwenye Kamati ya Shule juu ya hoja za Walimu

Ushauri: Ajenda za kuongea kwenye Kamati ya Shule juu ya hoja za Walimu

Yudasti

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
1,002
Reaction score
1,443
WanaJF salaam,mimi ni mwalimu kwenye moja ya shule binafsi hapa Tanga na pia nawakilisha walimu wenzangu kwenye kamati ya shule ambayo Mkuu wa shule ni katibu wa kamati hii, ili hali mwenye shule ni mjumbe.

Naomba kujua, ni ajenda zipi muhimu za kusema kwenye taasisi hii juu ya hoja za walimu bila kuiabisha shule na wakati huohuo kuleta tìja kwa pande zote ili waridhike.

Asante

Muwe na siku njema
 
Jikite kwenye hoja za namna ya kuboresha ufaulu wa wanafunzi..💪

Ila nimesikitika sana kama wewe ni mwalimu sijui watoto wetu itakuaje...😪
 
Dah! Sasa mwalimu mpaka ajenda za vikao nazo unataka usaidiwe kweli!

Lesson plan unaomba kwenye magroup!

Scheme of work nayo unaomba kwenye magroup!

Agenda za vikao nazo unaomba kwenye vikao!

Notes za kifundishia nazo, unaomba kwenye magroup! Mshahara ukitoka, kimyaaa...✍️
 
Back
Top Bottom