Ushauri: Aliomba MACHINE kwa Mungu, alipopewa akaikimbia...

Zawadi ya kidume ni kubarikiwa MASHINE, hata upige Gym vipi hauwezi jaza MASHINE....kifua hata kuku anacho ila sasa MASHINE....Hata uwe handsome boy wanataka MASHINE
ah nimecheka mpaka watu wameamka... mtaniua nyie watoto
 
Mungu kamwe hajibu kitu kinyume na neno lake.Waasherati wote Mungu atawahukumu, malazi yawe safi na ndoa iheshimiwe na watu wote. Ebr 13:4
 
Ulipotea Money Peny, leo umeibuka kivingine, nipe namba yake hiyo shost wako, mimi namfaa
 
Kwa stori ya hovyo kama hii, unamtaja pia mungu humohumo kwa utani!! Khaaaa..[emoji51] [emoji51] [emoji51]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…