Moniel
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 274
- 603
Wakuu habarini.
Nina mdogo wangu kamaliza form four mwaka jana, amepata div four 29
Naombeni ushauri anaweza kwenda vyuo vya kati vinavyotoa certificate?
Au ni chuo gani kitaendana na ufaulu wake
Ana Hist D, kiswah D, Bio D, Chem D, Geo D, Phy F, Engl F, Math F
Jinsia ni wakike
Ahsanteni
Nina mdogo wangu kamaliza form four mwaka jana, amepata div four 29
Naombeni ushauri anaweza kwenda vyuo vya kati vinavyotoa certificate?
Au ni chuo gani kitaendana na ufaulu wake
Ana Hist D, kiswah D, Bio D, Chem D, Geo D, Phy F, Engl F, Math F
Jinsia ni wakike
Ahsanteni