Embata Nyarusaho
Member
- Jan 5, 2015
- 9
- 4
Anaitwa charles ana miaka 26 ni mwanafunzi wa ngazi ya stashahada na yuko mwaka wa kwanza katika chuo kikuu cha SAUT mwanza...Tatizo lake ni kuwa na waswas na afya yake mana kafanya mchezo kuzama
chumvini (oral sexual) mara moja tu ktk maisha yake,,,,,,sasa anauliza je atakuwa kaadhirika au laaa!!!! mana hana aman kabisa.