Ushauri: Anadai Akishanipa penzi lake tuachane... πŸ’‘

Hata ukidharaulika haina shida utabaki dume la mbegu kama ulivyo now na hao wadada 6 waliobaki .Hivi wanawake wote hao unaweza kuwahandle kweli ,na vipi hawakufumanii hahaaa

Kila mmoja na tyme yake. Sema hua nakaz tu yakuwaaminusha kua mm ni mwaminifu na mwenye malengo nao
 
Vp ana chura ya kutosha huyo mrembo? Sory kwa swali langu la kuchomekea!!
 
Piga kazi,ila tumia zana.Hakikisha unajituma vya kutosha ili uitendee haki hiyo zawadi yake ya kukutunuku!!
Yeap nilikua nimesahau kidogo..
Wewe ndo umenena...
Dhana tu ...
Lazma kieleweke
 
ID UMEBADILI LAKINI NNIMEKUJUA. Kwani lile tatizo lako la upungufu wa nguvu za kiume umepona? Maana ulikuja kuomba msaada wa dawa hapa jamii F... Ulisema huwezi fanya mapenzi kwavile huwezi simamisha umme. pole sana. naona demu wako kashindwa kukuvumilia kaamua kukuacha hawezi kuwa na mwanaume ambaye sio rijali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…