Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unaelekea kuwa mshirikina Sasa.Huu ni ushauri tu ninaokupa, kama walishakuandika hadi kwenye magazeti kwamba mrithi wako kishapatikana, ijui Mbrazil, hii maana yake ni kwamba, hawana imani na wewe na wamekuchoka.
Sasa Mkuu maadam umewavusha, waachie timu yao wawape timu akina Mkwasa na Mexime.
Muwe mnaatumia ubongo kufikili na sio makalio kama wewe.Naona Mbowe kakuamsha na chamoto!!
Sasa mjomba kwani siruhusiwi kuchangia kwenye soka ?Wewe jamaa ni takataka hoja zako uchwara za kisiasa ndo unataka kuzileta kwenye mpira?
Mnawaza makalio muda wote ndiyo maana mwiko hauwatoki nyumaMuwe mnaatumia ubongo kufikili na sio makalio kama wewe.
Ikiwa unamakasiriko na mtoa maada busara ungemtafuta kwa njia ingine
Pia inahusiana nini Mbowe na kocha wa Yanga kujihudhulu ?
Muwe mnaatumia ubongo kufikili na sio makalio kama wewe.Naona Mbowe kakuamsha na chamoto!!
Hayo wasema wewe mkuu na sio MimiMnawaza makalio muda wote ndiyo maana mwiko hauwatoki nyuma
Nilikua najua jamaa smart,kumbe nae ni mbumbumbu tu mzungu wa reliUnaelekea kuwa mshirikina Sasa.
Huwezi kuwa mshabiki wa Chadema na Simba ukawa na akili timamu; angalia GENTAMYCINE au OKW BOBAN SUNZU walivyo mazezetaNilikua najua jamaa smart,kumbe nae ni mbumbumbu tu mzungu wa reli
hahahahahaHuwezi kuwa mshabiki wa Chadema na Simba ukawa na akili timamu; angalia GENTAMYCINE au OKW BOBAN SUNZU walivyo mazezeta
Nami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?Huwezi kuwa mshabiki wa Chadema na Simba ukawa na akili timamu; angalia GENTAMYCINE au OKW BOBAN SUNZU walivyo mazezeta
Unaumwa si bure! Uite usiite Yanga imewaprove wrong nyie mashabiki mbuzi. Ingawa tunajua haitafika mbali lakini kwa mchezo wa jana imewakata ngebeNami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?
[emoji23][emoji23][emoji23]Unaelekea kuwa mshirikina Sasa.