Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huwezi kuwa mshabiki wa Chadema na Simba ukawa na akili timamu; angalia GENTAMYCINE au OKW BOBAN SUNZU walivyo mazezeta
Joyce nkya ni lini uliposikia viongozi wa yanga wanadai hawamtaki kocha? Hao ndio waliomuajiri na hao ndio ambao wakiamua aondoke ataondoka tuHuu ni ushauri tu ninaokupa, kama walishakuandika hadi kwenye magazeti kwamba mrithi wako kishapatikana, ijui Mbrazil, hii maana yake ni kwamba, hawana imani na wewe na wamekuchoka.
Sasa Mkuu maadam umewavusha, waachie timu yao wawape timu akina Mkwasa na Mexime.
Huyo ni mke wa mbowe sasa iweje wasiwe na mahusiano na mumewe?Muwe mnaatumia ubongo kufikili na sio makalio kama wewe.
Ikiwa unamakasiriko na mtoa maada busara ungemtafuta kwa njia ingine
Pia inahusiana nini Mbowe na kocha wa Yanga kujihudhulu ?
Haitafika mbali kivipi?Unaumwa si bure! Uite usiite Yanga imewaprove wrong nyie mashabiki mbuzi. Ingawa tunajua haitafika mbali lakini kwa mchezo wa jana imewakata ngebe
Alafu huyo siyo jamaa!Nilikua najua jamaa smart,kumbe nae ni mbumbumbu tu mzungu wa reli
hahahahahaha,,kumbe,ahsante kwa taarifa hiiAlafu huyo siyo jamaa!
Bali ni mmama wale bawacha kutoka mkoa wa Mbeya
Huyo ni we-kundu wa msimbazi.Wewe jamaa ni takataka hoja zako uchwara za kisiasa ndo unataka kuzileta kwenye mpira?
Wabongo mmeishiwa hoja kabisa yaani !! kwamba kwa vile mimi niko Chadema basi nikijadili soka natukanwa , kwahiyo soka ni mali ya ccm , ndio maana mnapeperusha picha za Samia Uwanjani wakati hajawahi kupiga hata danadana mbili !Joyce nkya ni lini uliposikia viongozi wa yanga wanadai hawamtaki kocha? Hao ndio waliomuajiri na hao ndio ambao wakiamua aondoke ataondoka tu
Bila shaka wewe ni shaniki la koloHuu ni ushauri tu ninaokupa, kama walishakuandika hadi kwenye magazeti kwamba mrithi wako kishapatikana, ijui Mbrazil, hii maana yake ni kwamba, hawana imani na wewe na wamekuchoka.
Sasa Mkuu maadam umewavusha, waachie timu yao wawape timu akina Mkwasa na Mexime.
Kwani yeye anahusika nini na Nabii mpaka ampe ushauri?? Au na wewe unawashwa kama yeye?Muwe mnaatumia ubongo kufikili na sio makalio kama wewe.
Ikiwa unamakasiriko na mtoa maada busara ungemtafuta kwa njia ingine
Pia inahusiana nini Mbowe na kocha wa Yanga kujihudhulu ?
Hayo wasema wewe mkuu na sio Mimi
Kauli mbiu ya Yanga pia haihusiani na kilichokuwa kinajadiliwa
Kwako ni halali mtu kumwambia maneno kama yale kweli ?Kwani yeye anahusika nini na Nabii mpaka ampe ushauri?? Au na wewe unawashwa kama yeye?
Huyu wananchi wazalendo tunae Sana,kwa maana mbili kuu,kuendeleza rekodi ya unbeaten zaidi na mtani,na pia ahadi ya ubingwa wa ligi ya ndani miaka7 mfululizo na kimataifa kuwajengea wananchi uwezo na uzoefu wa kupambana sii tu na mwarabu,na West Africa Bali Hata south Na north.Huu ni ushauri tu ninaokupa, kama walishakuandika hadi kwenye magazeti kwamba mrithi wako kishapatikana, ijui Mbrazil, hii maana yake ni kwamba, hawana imani na wewe na wamekuchoka.
Sasa Mkuu maadam umewavusha, waachie timu yao wawape timu akina Mkwasa na Mexime.
Afanye yanayomhusu, mbona asimshauri mgunda kuondoka ikiwa yupo mbioni kufukuzwa??.Kwako ni halali mtu kumwambia maneno kama yale kweli ?
Ushauri sio lazima kuufanyia kazi .kwani yeye ambagaze mtu mwingine ambaekabisa hausiani
Ya Mgunda hayanihusu nafikili nawe ni mwana jangwani kami mimi wafahamu hali tuliyokuwa tunapita mara baada ya kuondolewa na Al hilal ya SudanAfanye yanayomhusu, mbona asimshauri mgunda kuondoka ikiwa yupo mbioni kufukuzwa??.
UNAHAMUYAMHOGOOONAAZAMENERGYEEHHHuu ni ushauri tu ninaokupa, kama walishakuandika hadi kwenye magazeti kwamba mrithi wako kishapatikana, ijui Mbrazil, hii maana yake ni kwamba, hawana imani na wewe na wamekuchoka.
Sasa Mkuu maadam umewavusha, waachie timu yao wawape timu akina Mkwasa na Mexime.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaelekea kuwa mshirikina Sasa.