Mrs Gudman
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 613
- 1,297
Jamani hapa naomba ushauri huko kijijini kwetu kuna vifo vya ghafla huyu ni mtu kama wa sita, mtu anabanwa tu anaondoka
Sasa jana kazidiwa mzee wa jirani kabanwa tu na alikuwa haumwi alishindwa kupumua watu wakaitwa kumsaidia na kumuombea akiwemo baba yangu mzazi mwenye miaka 64, ( baba hana ugonjwa wowote afya yake ni njema) wakawa wanamsaidia baada ya muda akapelekwa hospital hata akufika akawa kafariki,.
Hiyo taarifa mimi imenikosesha raha, japo wao wanaichukulia poa nifanyeje wapendwa, mimi nipo mbali ila sijui cha kufanya hawa wazee hata hawachukui tahadhari jamani[emoji24][emoji24]
Napenda babangu bado namuhitaji sana,sina raha niambieni cha kufanya nimuokoe na huyu ibilisi corona
Sasa jana kazidiwa mzee wa jirani kabanwa tu na alikuwa haumwi alishindwa kupumua watu wakaitwa kumsaidia na kumuombea akiwemo baba yangu mzazi mwenye miaka 64, ( baba hana ugonjwa wowote afya yake ni njema) wakawa wanamsaidia baada ya muda akapelekwa hospital hata akufika akawa kafariki,.
Hiyo taarifa mimi imenikosesha raha, japo wao wanaichukulia poa nifanyeje wapendwa, mimi nipo mbali ila sijui cha kufanya hawa wazee hata hawachukui tahadhari jamani[emoji24][emoji24]
Napenda babangu bado namuhitaji sana,sina raha niambieni cha kufanya nimuokoe na huyu ibilisi corona