Haya ndiyo madhara ya nchi kuongozwa na mtu mmoja. Hili siyo jukumu wala kero ya kufikisha kwa rais hata kidogo. Tunarudi kule kule. Bila katiba mpya ni bure. Matatizo kama haya yanadhihirisha kabisa kuwa ngazi za chini hazifanyi kazi na kila mtu anasubiri kusikia kutoka kwa rais.
Hiyo katiba yenyewe ya sasa haunimamiii,,,,hata zikija laki bila usimamizi ni wimbo usioisha,,,,tatizo Watanzania wengi hatujui Tatizo tunakimbilia kutatuaš¤£š¤£
Hiyo katiba yenyewe ya sasa haunimamiii,,,,hata zikija laki bila usimamizi ni wimbo usioisha,,,,tatizo Watanzania wengi hatujui Tatizo tunakimbilia kutatuaš¤£š¤£
Hapana. Hii sababu haina mashiko. Japo kweli wabongo ni waoga na hawafuatilii uwajibikaji wa viongozi wao lakini katiba mpya itafanya baadhi ya mambo kuwa afadhali kidogo kuliko ilivyo sasa. Jambo lolote linaloongeza ufanisi hata uwe mdogo kiasi gani la kheri.
Hapana. Hii sababu haina mashiko. Japo kweli wabongo ni waoga na hawafuatilii uwajibikaji wa viongozi wao lakini katiba mpya itafanya baadhi ya mambo kuwa afadhali kidogo kuliko ilivyo sasa. Jambo lolote linaloongeza ufanisi hata uwe mdogo kiasi gani la kheri.
Wenzako wanataka wawe na uwezo wa kumshitaki raisi akiwa madarakani na tume ya uchaguzi kuundwa tofautii,,,ndo maana kina watu wanafuata mkumbo ukimuuliza katiba ikibadilishwa utafaidikaje hola