arnolds
Senior Member
- Oct 10, 2009
- 105
- 57
Amani kwenu wadau, natumaini wote mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu yenu kama kawaida.
wakuu naomba ushauri hapa, nafikiria kuanzisha biashara ya kutengeneza kadi mbalimbali kama za harusi, sendoff na nyinginezo. kwenye swala la design hamna tatizo coz naweza kudesign mwenyewe. nataka kufaham ni vifaa gani vingine nitakavyohitaji (zaidi ya computer ambayo naitumia ku-design)?..naomba kwa anayefaham anitajie pia na mahali ambapo vifaa hivi vinapatikana.
shukrani sana, na Mungu awabariki.
wakuu naomba ushauri hapa, nafikiria kuanzisha biashara ya kutengeneza kadi mbalimbali kama za harusi, sendoff na nyinginezo. kwenye swala la design hamna tatizo coz naweza kudesign mwenyewe. nataka kufaham ni vifaa gani vingine nitakavyohitaji (zaidi ya computer ambayo naitumia ku-design)?..naomba kwa anayefaham anitajie pia na mahali ambapo vifaa hivi vinapatikana.
shukrani sana, na Mungu awabariki.