Ushauri biashara ya asali

Richmas

New Member
Joined
Nov 8, 2016
Posts
4
Reaction score
1
Habari humu ndani nimenunua asali ya nyuki wakubwa toka TABORA dumu la Lita 20 kwa laki moja na arobaini ninaomba formula ya kupata being ya kuuzia please nasubiri.
 
peleka mwanza soko lipo, angalizo hakikisha una vibari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…