Ushauri: Biashara ya gadgets mtandaoni

stevhinoz

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2021
Posts
228
Reaction score
509
Wakuu naomba mwenye uzoefu na ujuzi wa biashara ya kuuza gadgets mtandaoni anisaidie mawazo.

Kuhusu Mtaji wa kuanzia, chimbo la kupata mzigo, namna ya kupata wateja, jinsi ya kupanga bei na marketing yake.
Pia nilitamani nijue gadgets zinazouzika sana ni zipi.

Karibuni kwa ushauri.
 
Machimbo unaweza kununua gadgets kwa bei ya jumla kariakoo

Au unaweza kuyaagiza mwenyewe china,marekani n.k huko kwa kutumia aliexpress,ebay,amazon(rejareja)

Alibaba,wechat(Jumla jumla)

Kuhusu mtaji ni wewe sasa ukishajua bei ya vitu unavyotaka unaweza ukapanga uanze na idadi ipi ambayo itakujulisha bei uliyokuwa nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…