Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,962
- 1,618
Habari wajasiriamali wenzangu,
Hivi karibuni nafikiria kijiunga na wenzangu katika kuajiri.
Ipo hivi;
Ninunue gari Aina ya Toyota Noah kisha dogo akafanye biashara ya kubeba abiria kutoka Moshi mjini mpaka Tarakea au sehemu inaitwa Wilayani. Ambapo nauli ni kuanzia 3000/ kwa mtu.Na Noah za pale hubeba watu mpaka 10.
Naomba nisaidiwe juu ha hili wazo;
1 Je linaweza kua sahihi?
2 Au mbali na hii route je kuna route nyingine sehemu nyingine yenye faida kuliko hii.?
Naombeni ushauri wa biashara hii ya usafirishaji au hata nyingine Bora zaidi.
Mtaji ni 12,000,000/
Asanteni.
Hivi karibuni nafikiria kijiunga na wenzangu katika kuajiri.
Ipo hivi;
Ninunue gari Aina ya Toyota Noah kisha dogo akafanye biashara ya kubeba abiria kutoka Moshi mjini mpaka Tarakea au sehemu inaitwa Wilayani. Ambapo nauli ni kuanzia 3000/ kwa mtu.Na Noah za pale hubeba watu mpaka 10.
Naomba nisaidiwe juu ha hili wazo;
1 Je linaweza kua sahihi?
2 Au mbali na hii route je kuna route nyingine sehemu nyingine yenye faida kuliko hii.?
Naombeni ushauri wa biashara hii ya usafirishaji au hata nyingine Bora zaidi.
Mtaji ni 12,000,000/
Asanteni.