Joasi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 766
- 674
Habari za jioni,
Nimepata mtaji wa TSH 2,000,000.
nataka kufanya biashara ya kukopesha hapa mahala ni kijijini lakini si Sana na Kuna waajiliwa wengi WA sector mbali mbali wa Afya na uwalimu.
Nimepanga kutoa mkopo kuanzia Sh 50,000 mpaka 300,000.
RIBA ni 20%
Muda ni mwezi mmoja.
MASHARTI
*Ataacha ATM card na namba ya siri pia nimeandaa barua maalumu ya kusaini pamoja na mhuri wa mwenyekiti wa mtaa.
Naomba ushauri wenu juu ya hili swala
Nimepata mtaji wa TSH 2,000,000.
nataka kufanya biashara ya kukopesha hapa mahala ni kijijini lakini si Sana na Kuna waajiliwa wengi WA sector mbali mbali wa Afya na uwalimu.
Nimepanga kutoa mkopo kuanzia Sh 50,000 mpaka 300,000.
RIBA ni 20%
Muda ni mwezi mmoja.
MASHARTI
*Ataacha ATM card na namba ya siri pia nimeandaa barua maalumu ya kusaini pamoja na mhuri wa mwenyekiti wa mtaa.
Naomba ushauri wenu juu ya hili swala