PAPAA JIWE
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 863
- 149
Habari Wakuu,
Nahitaji kufungua biashara ya muziki ili kukuza kipato changu na kutoa ajira pia.
Lengo ni kupiga muziki kwenye sherehe mbalimbali na misiba, kutoa matangazo ya aina mbalimbali mitaani na kadhalika.
Tafadhali naomba kupata ushauri ni vifaa gani natakiwa kununua, bei yake kama inajulikana, na namna bora ya kuendesha biashara ya namna hiyo.
Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji kufungua biashara ya muziki ili kukuza kipato changu na kutoa ajira pia.
Lengo ni kupiga muziki kwenye sherehe mbalimbali na misiba, kutoa matangazo ya aina mbalimbali mitaani na kadhalika.
Tafadhali naomba kupata ushauri ni vifaa gani natakiwa kununua, bei yake kama inajulikana, na namna bora ya kuendesha biashara ya namna hiyo.
Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app