PAPAA JIWE
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 863
- 149
Hapana mkuu, mimi sijui kuimba, ila nataka niwe nakodisha vifaa vya muziki kwenye matukio mbalimbali. Hapo nitatoa ajira kwa DJ na kijana mwingine wa kusaidia kazi ndogondogo.Unajua kuimba au unatafuta na waombaji?
Usinisahau kwenye Baraza Jipya.
Sawa MC mmoja yupo nafahamiana nae anakamata jukwaa hasa, ikifikia hatua ya mc nishtue nikupe namba zakeHapana mkuu, mimi sijui kuimba, ila nataka niwe nakodisha vifaa vya muziki kwenye matukio mbalimbali. Hapo nitatoa ajira kwa DJ na kijana mwingine wa kusaidia kazi ndogondogo.
Kama kutakuwa na deal zaidi kutakuwa na ajira ya MC pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana anataka elimu kabla hajaanzishaSasa mkuu unaanzisha biashara hujui nini kinahtajika, kweli upo serioz ?
sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.