Ushauri biashara ya tambi za dengu na crips

kdany

Senior Member
Joined
Jul 20, 2012
Posts
149
Reaction score
25
habari wakuu,kuna hii biashara ya kuuza crips za viazi,ndizi au mihogo na tambi za dengu,naomba kufahamu juu ya faida na soko lake kwa ujumla kwa dsm.mashne za kutengenezea znapopatkana na gharama za uendeshaji kwa ujumla kwa anaezifahamu.natanguliza shukrani lakn kama kuna maelezo mengne zaid tofaut na haya nitashukuru zaidi.
 
Mashine zipo kisutu na kariakoo bei hadi 60,000/- kwa kila moja.
Na kariakoo zipo.
Masoko ni ya kuyasaka kwa kweli hasa kwa zama za sasa.
Unaweza mpa mzigo mteja leo baada ya siku 2 unafata hela ila kwa sasa biashara ngumu kiasi.
Tambi zina faida nzur sana kupita crips za viaz,ila za mihogo zina faida sawa na tambi.

Changamoto kuu ni nishat,maana kuni ni ghali na mafuta ya kupikia ni ghali kwa sasa.
Ukipata soko au masoko ya uhakika uta enjoy sana

May Allah bless Me and You
 
Dah..hyo machine ghali hvyo alfu crips uuze 500🤔! Sijui faida ni ngap! Inafikirisha sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…