Ushauri: Biashara ya uwakala wa bima aina zote hapa Dar es Salaam

Ushauri: Biashara ya uwakala wa bima aina zote hapa Dar es Salaam

Iniho

Member
Joined
Jul 3, 2018
Posts
97
Reaction score
68
Hello wana Jamii Forum,

Nafikiria kuanzisha biashara ya uwakala wa bima aina zote hapa Dar es Salaam na ikiwezekana na mikoa ya jirani.

Sina utaalamu sana ila nilifanya kazi kidogo kwa hizi kampuni. Nahtaji ushauri kwa wenye experience nazo changamoto za biashara, faida na kila kitu kwenye eneo hili.
 
Sasa kama ulishafanya kazi kwenye kampuni hizo unakwama wapi mkuu!? Ama kazi yako ilikuwa ni mlinzi kufunga geti na kufungua?
 
Ukifungua mkuu naomba usinisahau nasoma hizo bima AF Nina uzoefu na motor insurance
 
Sasa kama ulishafanya kazi kwenye kampuni hizo unakwama wapi mkuu!? Ama kazi yako ilikuwa ni mlinzi kufunga geti na kufungua?
Acha dharau na Wivu inaonyesha una stress za hela njoo nikukopeshe.
 
Sasa kama ulishafanya kazi kwenye kampuni hizo unakwama wapi mkuu!? Ama kazi yako ilikuwa ni mlinzi kufunga geti na kufungua?
Acheni kudharau walinzi paka shume nyie.

Familia zao mnazilisha nyie ??
 
tafuta kampuni kubwa ya bima,bumaco,jubilee insurance etc.kisha uingie nao mkataba kwamba utakua wakala wao,utapewa muongozo wa kacover wanazotoa hiyo kampuni,vile vile itaitajika cheti cha mtu aliyosomea insurance.utmost good faith
 
Acheni kudharau walinzi paka shume nyie.

Familia zao mnazilisha nyie ??
Mshenz sana huyo anaona ulinzi sio kazi hana akili ana stress hapo alipo mtu mwenye akili hawezi comment upumbavu wa aina hii.nafungua kampuni aje nimwajiri.Binadamu sijui wakoje
 
tafuta kampuni kubwa ya bima,bumaco,jubilee insurance etc.kisha uingie nao mkataba kwamba utakua wakala wao,utapewa muongozo wa kacover wanazotoa hiyo kampuni,vile vile itaitajika cheti cha mtu aliyosomea insurance.utmost good faith
Ahsante sana Mkuu kwa ushauri🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom