Ushauri: Biashara yangu inayumba lakini sijawahi kukopa, nifanyaje?

Ushauri: Biashara yangu inayumba lakini sijawahi kukopa, nifanyaje?

BrownRange

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2020
Posts
927
Reaction score
1,191
Wakuu habari.

Mi ni mfanyabiashara, Ila kwa Sasa biashara yangu niliyokuwa naitegemea imekwama. Nataka kujikwamua kutoka hapa nilipo.

Sijawahi kukopa, Ila kwa hali niliyofikia inanilazimu nitafute mkopo au partnership wa biashara.

Nina nyumba nne, mojawapo naishi mwenyewe, Kodi mpaka mwezi wa kumi, Mambo hayaendi. Nina shida ya milioni kumi, au nimuuzie mtu hisa za kampuni mwenye interests.

Naomba ushauri wenu
 
Sasa haujaelezea aina ya biashara unataka partnership
Wakuu habari.

Mi ni mfanyabiashara, Ila kwa Sasa biashara yangu niliyokuwa naitegemea imekwama. Nataka kujikwamua kutoka hapa nilipo.

Sijawahi kukopa, Ila kwa hali niliyofikia inanilazimu nitafute mkopo au partnership wa biashara.

Nina nyumba nne, mojawapo naishi mwenyewe, Kodi mpaka mwezi wa kumi, Mambo hayaendi. Nina shida ya milioni kumi, au nimuuzie mtu hisa za kampuni mwenye interests.

Naomba ushauri wenu
 
Hapana mkuu, mbona nimeeleza moja naishi mwenyewe
Sawa mkuu ili upate ushaur mzur weka full detail aina yako ya biashara pia unais imeanza yumba kisa nn ili watu wakikupa ushaur wanaweza jua namna gan ya kukushaur unawez pata ushaur mzur ata ukasahau kuwa na patinaship ya biashara.

Pia kwa ushaur wangu kama biashar yako inalipa na haina hofu amishia ata mikoa yenye fursa na kumikik nyumba nne ni raha sana but kumbuka hzo ndio aset yako uza moja au kopea hyo 10 mil. Af hzo zngne ztakuwa znalipa mkopo zkisaidiana ili usimame tena. Mfanya biashara lazma uwe risk taker na ujue jins ya kuikwamua pia.

ZINGATIA:
*Haina ya marafiki punguza marafiki ikiwezekana.
*Kama umeoa mchunguze mkeo vema kwenye mahtaj yake na matumizi.
*Kama n mzee wa toto punguza au acha kabsa totoz
*Usizoee maisha yako.
 
Sawa mkuu ili upate ushaur mzur weka full detail aina yako ya biashara pia unais imeanza yumba kisa nn ili watu wakikupa ushaur wanaweza jua namna gan ya kukushaur unawez pata ushaur...
Asante kwa ushauri, sijawahi kukopa, naanzaje anzaje
 
Mkuu sijashawishi mtu, mi nahitaji ushauri, je nitatue vipi hii changamoto kwa maelezo kidogo niliyoweka
Hapo kuuza hisa. Sijajua Kama Ni ushauri unataka samahani nisamehe kwa uelewa wangu wa pupa.

Ila nakuomba andika kiurefu ili ueleweke vizuri waweza pata info za kukusaidia kabisa
 
Neno takatifu
Unachotakiwa kufanya andaa nyaraka zako ziwe kamili mf. Kama unataka kopea biashara yako andaa doc zote za kwenye biashara ako mf.lesen, tin number n.k pia jua biashara ako ni yamtaj wa sh.ngap na unataka ukope sh.ngap maana kuna uwezo wa kukopa ata mil.100 kama n mfanya biashara wa muda na biashara ako ni ya kueleweka

Kama unataka kukopa kwa kutumia nyumba akikisha pia nyumba ako ina viambata vuote kama hati au lesen za makaz n.k then nenda benk yako pendwa mf NMB or CRDB apo watakupa vielelezo vzur.

NB😛ia mkuu ukipata ela wekeza kwenye dhahabu nunua dhahabu hifadh ata ukiyumba kibiashara unachukua unauza.
 
Ok partner aje na kiasi gani? Na atanufaikaje?
 
Angalia sababu ya kuyumba Biashara

Chukua hati moja ya nyumba kakope

Kuwa makini na wanaosimamia Biashara yako ukiwa haupo
 
Back
Top Bottom