BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Nyumba nne zote umepangisha au vipiWakuu habari.
Mi ni mfanyabiashara, Ila kwa Sasa biashara yangu niliyokuwa naitegemea imekwama. Nataka kujikwamua kutoka hapa nilipo...
Pia pole sana mkuuNyumba nne zote umepangisha au vp
Mkuu sijashawishi mtu, mi nahitaji ushauri, je nitatue vipi hii changamoto kwa maelezo kidogo niliyowekaStory haijashiba. Nadhani marketing kipengele hichi tupo nyuma mno.
Hebu cheki hayo maelezo ungekutana nayo yalitosha kushawishi kweli
Hapana mkuu, mbona nimeeleza moja naishi mwenyeweNyumba nne zote umepangisha au vp
Mtu anakupaje ushaur bila kujua aina ya biasharaMkuu sijashawishi mtu, mi nahitaji ushauri, je nitatue vipi hii changamoto kwa maelezo kidogo niliyoweka
Wakuu habari.
Mi ni mfanyabiashara, Ila kwa Sasa biashara yangu niliyokuwa naitegemea imekwama. Nataka kujikwamua kutoka hapa nilipo.
Sijawahi kukopa, Ila kwa hali niliyofikia inanilazimu nitafute mkopo au partnership wa biashara.
Nina nyumba nne, mojawapo naishi mwenyewe, Kodi mpaka mwezi wa kumi, Mambo hayaendi. Nina shida ya milioni kumi, au nimuuzie mtu hisa za kampuni mwenye interests.
Naomba ushauri wenu
Sawa mkuu ili upate ushaur mzur weka full detail aina yako ya biashara pia unais imeanza yumba kisa nn ili watu wakikupa ushaur wanaweza jua namna gan ya kukushaur unawez pata ushaur mzur ata ukasahau kuwa na patinaship ya biashara.Hapana mkuu, mbona nimeeleza moja naishi mwenyewe
Asante kwa ushauri, sijawahi kukopa, naanzaje anzajeSawa mkuu ili upate ushaur mzur weka full detail aina yako ya biashara pia unais imeanza yumba kisa nn ili watu wakikupa ushaur wanaweza jua namna gan ya kukushaur unawez pata ushaur...
Hapo kuuza hisa. Sijajua Kama Ni ushauri unataka samahani nisamehe kwa uelewa wangu wa pupa.Mkuu sijashawishi mtu, mi nahitaji ushauri, je nitatue vipi hii changamoto kwa maelezo kidogo niliyoweka
Dah hiki ni kipengele kigumu sana, Asante kwa ushauriUza nyumba mojawapo
Neno takatifuAsante kwa ushauri, sijawahi kukopa, naanzaje anzaje
Unachotakiwa kufanya andaa nyaraka zako ziwe kamili mf. Kama unataka kopea biashara yako andaa doc zote za kwenye biashara ako mf.lesen, tin number n.k pia jua biashara ako ni yamtaj wa sh.ngap na unataka ukope sh.ngap maana kuna uwezo wa kukopa ata mil.100 kama n mfanya biashara wa muda na biashara ako ni ya kuelewekaNeno takatifu