Ushauri bodi ya TRC iwe na wafanyabiashara zaidi!

Ushauri bodi ya TRC iwe na wafanyabiashara zaidi!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Utamaduni wa kujaza wasomi na walimu wa vyuo kwenye bodi za mashirika hayana tija. Kwenye bodi hizi mtaalamu sana sana awe mmoja na walionaki wawe watu ambao wanajua na kutumia reli mfano wafanyabiashara wa mizigo inayoenda nchi za nje, wataalamu wa kodi lakini watoke kwenye kampuni binafsi na wawe na uzoefu, wataalamu wa ununuzi kutoka kampuni binafsi na wawe na uzoefu.

Bodi za mashirika zimejaa ndugu na jamaa wa viongozi 🤔
 
Umesahau! " Na wawe na maslahi nayo " tofauti na hapo hiyo ni ndito za alinacha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kila mwenye kampuni ya basi apewe behewa moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Wafanyabishara wa malori? ili waiue kama walivyoua TAZARA?

Wanaweza kutumia mfumo wa RO-RO ambapo wenye malori na mashirikiana kama TRC pia wenye malori na TAZARA wanashirikina.



Roll On - Roll Off (RO-RO) - A unique innovation of trucks loaded over railway wagons. This service has helped truck drivers in different ways such as lesser fuel consumption, decrease in wear and tear of truck & its tyres, relief to drivers by no driving in extreme conditions.
 
Utamaduni wa kujaza wasomi na walimu wa vyuo kwenye bodi za mashirika hayana tija. Kwenye bodi hizi mtaalamu sana sana awe mmoja na walionaki wawe watu ambao wanajua na kutumia reli mfano wafanyabiashara wa mizigo inayoenda nchi za nje, wataalamu wa kodi lakini watoke kwenye kampuni binafsi na wawe na uzoefu, wataalamu wa ununuzi kutoka kampuni binafsi na wawe na uzoefu.

Bodi za mashirika zimejaa ndugu na jamaa wa viongozi [emoji848]
Wakikusikia The Green Mamba utatukanwa,nchi hii wenye akili hawatakiwi!
Kesho utasikia Rais amemteua Jaji Mstaafu wa Mahakama kuu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TRC!
 
Back
Top Bottom