Matukutuku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 269
- 126
Wakuu nimekuwa nikipata tabu sana na namna ya kuhifadhi Parachichi kwenye friji pale unapoyakata na kushindwa kula ukiamini kwamba ukiweka kwenye friji kesho yake yatakuwa fresh, lakin badala yake huwa yanakuwa meusi kwa juu, ukitaka kuyala mpaka uondoe huo ukoko mweusi ndo uweze kula.
Sasa nilitaka kujua ni kwa namna gani tunatakiwa kuhifadhi maparachichi yasioze au yasitoe hiyo utando mweusi, au haitakiwi kabisa kuweka kwenye friji?
Au labda hutakiwi kununua maparachichi mengi yaliyoiva, kwamba unatakiwa ununue machache ya kula siku hiyo hiyo??
jee kuweka parachichi kwenye friji ni sahihi au la?
Ushauri jamani.
Sasa nilitaka kujua ni kwa namna gani tunatakiwa kuhifadhi maparachichi yasioze au yasitoe hiyo utando mweusi, au haitakiwi kabisa kuweka kwenye friji?
Au labda hutakiwi kununua maparachichi mengi yaliyoiva, kwamba unatakiwa ununue machache ya kula siku hiyo hiyo??
jee kuweka parachichi kwenye friji ni sahihi au la?
Ushauri jamani.