Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Habari wakuu,
Hembu wazoefu wa kilimo,nipeni ushauri huu.
Kwanza angalizo la mwazo:-
Miti hiyo ni kama decoration,badala ya kuwa na mauwa kwenye Nyumba,nimeamua iwe ni Royal Fruits House of my dream.
Kwahiyo sio kwa biashara.Ni matumizi ya inhouse or just friend wataotembelea na pia neighbors .
Niliipenda hii maana niliikuta Kenya,kuna biz man mwenzangu yeye alijenga house ana courtyard kubwa kiasi alipanda fruits trees kwa mfumo mzuri sana.Na alipoimaliza na kuipangisha basi ananiambia Customers wengi walikuwa attracted na miti ya matunda,licha ya kwamba alikuwa na ziada ya Swimming pool na Tennis Court.So,alikuwa pesa tamu sana kwa wa Russia Waliokodi waliokuwa attracted na mfumo wa nyumba,na huyu jamaa alinipa Idea na kuniambia kwamba dunia inabadilika.
Na mfumo alioutumia ni kwamba alinunua kiwanja kisha akapanda miti,then after two years akaanza kujenga,so in 3 years miti yake ikawa imeanza ku bear fruits.
Naomba mnijuze sasa wazoefu.
Mie nimelist miti hii hapa chini,ningependa kujua kwanza kama hakuna miti yenye allergy na mwenzie(hahaha).
Najua swali linalofuata ni kujua ardhi,ufupi itakuwa Kigamboni au Chanika ndiko ambapo ninaplan kutia team January kuchukua eneo.
Pia nina plan kama ardhi haita suite baadhi ya mazao,niliona Kenya wanahamisha udongo na kuweka kwenye pot,au kuongezea chini ili ku suite zao husika,maana altitude inaonekana haina athari kubwa sana.
-Je mazao hayo yanaweza kuwa pamoja
-Kwa wazoefu,ni ukubwa gani wa eneo natakiwa niwe nao kwa miti yote hiyo.Just for trees tu,maana ukubwa wa House,swimming pool,tennis Court(converted to Basketball pitch and Volleyball pitch) ukubwa wake ninao tayari.
-Ushauri mwingine wa ziada pia unakaribishwa
List hapa chini ila mwenye ziada anaweza kuongeza
Aina ya mti na idadi yake
1)Miembe 2
2)Mipera 2
3)Avocado 1
4)Michungwa 2
5)Michenza 2
6)Ndimu(Lime) 2
7)Lemon 1
8)Komamanga 2
9)Shokishoki(Rambutan) 2 -3(Imependekezwa na mdau idadi iwe mitatu by bintikikongwe
10)Minazi 6 (Kitamli,kwa madafu tuu)
11)Michikichi 4 (Lengo ni kuvutia ndege na viota vyake)
12)Apples 6 (Hii imefelishwa moja kwa moja na wadau waliotangulia
13)Stafeli 3
14)Bilimbi(mbilimbi) 2
15)Topetope(Custard Fruit) 2
16)Carambola 2
17)Minanasi 10
Ziada nimeyopata kwa mdau humu Chaula Rich
Naongeza
18)Fenesi(Jack Fruit) 1
Ziada ya mdau chuma cha rel
19)Bungo Tree 2
20)Mipapai 6
Ziada ya mdau Rolandi
21: Pilipili,miti 10 au 20 ya aina tofauti
Ziada kwa mdau Kingmairo
22:Zambarau 1 (umefelishwa na bintikikongwe kwa kuwa unachukua eneo kubwa sana unless kuwe na ya kisasa
23:Mangosteen 2 : (imependekezwa na Bintikikongwe)
24:Mitufaa (malay apples) 2: (imependekezwa na Bintikikongwe)
Miti tiba:
Karafuu 2
Mironge 2
Mkunazi 1
Hembu wazoefu wa kilimo,nipeni ushauri huu.
Kwanza angalizo la mwazo:-
Miti hiyo ni kama decoration,badala ya kuwa na mauwa kwenye Nyumba,nimeamua iwe ni Royal Fruits House of my dream.
Kwahiyo sio kwa biashara.Ni matumizi ya inhouse or just friend wataotembelea na pia neighbors .
Niliipenda hii maana niliikuta Kenya,kuna biz man mwenzangu yeye alijenga house ana courtyard kubwa kiasi alipanda fruits trees kwa mfumo mzuri sana.Na alipoimaliza na kuipangisha basi ananiambia Customers wengi walikuwa attracted na miti ya matunda,licha ya kwamba alikuwa na ziada ya Swimming pool na Tennis Court.So,alikuwa pesa tamu sana kwa wa Russia Waliokodi waliokuwa attracted na mfumo wa nyumba,na huyu jamaa alinipa Idea na kuniambia kwamba dunia inabadilika.
Na mfumo alioutumia ni kwamba alinunua kiwanja kisha akapanda miti,then after two years akaanza kujenga,so in 3 years miti yake ikawa imeanza ku bear fruits.
Naomba mnijuze sasa wazoefu.
Mie nimelist miti hii hapa chini,ningependa kujua kwanza kama hakuna miti yenye allergy na mwenzie(hahaha).
Najua swali linalofuata ni kujua ardhi,ufupi itakuwa Kigamboni au Chanika ndiko ambapo ninaplan kutia team January kuchukua eneo.
Pia nina plan kama ardhi haita suite baadhi ya mazao,niliona Kenya wanahamisha udongo na kuweka kwenye pot,au kuongezea chini ili ku suite zao husika,maana altitude inaonekana haina athari kubwa sana.
-Je mazao hayo yanaweza kuwa pamoja
-Kwa wazoefu,ni ukubwa gani wa eneo natakiwa niwe nao kwa miti yote hiyo.Just for trees tu,maana ukubwa wa House,swimming pool,tennis Court(converted to Basketball pitch and Volleyball pitch) ukubwa wake ninao tayari.
-Ushauri mwingine wa ziada pia unakaribishwa
List hapa chini ila mwenye ziada anaweza kuongeza
Aina ya mti na idadi yake
1)Miembe 2
2)Mipera 2
3)Avocado 1
4)Michungwa 2
5)Michenza 2
6)Ndimu(Lime) 2
7)Lemon 1
8)Komamanga 2
9)Shokishoki(Rambutan) 2 -3(Imependekezwa na mdau idadi iwe mitatu by bintikikongwe
10)Minazi 6 (Kitamli,kwa madafu tuu)
11)Michikichi 4 (Lengo ni kuvutia ndege na viota vyake)
12)Apples 6 (Hii imefelishwa moja kwa moja na wadau waliotangulia
13)Stafeli 3
14)Bilimbi(mbilimbi) 2
15)Topetope(Custard Fruit) 2
16)Carambola 2
17)Minanasi 10
Ziada nimeyopata kwa mdau humu Chaula Rich
Naongeza
18)Fenesi(Jack Fruit) 1
Ziada ya mdau chuma cha rel
19)Bungo Tree 2
20)Mipapai 6
Ziada ya mdau Rolandi
21: Pilipili,miti 10 au 20 ya aina tofauti
Ziada kwa mdau Kingmairo
22:Zambarau 1 (umefelishwa na bintikikongwe kwa kuwa unachukua eneo kubwa sana unless kuwe na ya kisasa
23:Mangosteen 2 : (imependekezwa na Bintikikongwe)
24:Mitufaa (malay apples) 2: (imependekezwa na Bintikikongwe)
Miti tiba:
Karafuu 2
Mironge 2
Mkunazi 1