gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
Uelewa mpana!Swali dogo, majibu mengiiiiii
Mkuu unanifunda kuhusu carina ti ??
Body ni hiyo hiyo tu.Muundo unafanana Ila material ya body tofauti pia watu wengi Tanzania tunatumia Ti kuliko Si hii ni kutokana na uimara wa wake
Chukua Si ina engen kubwa ya cc1800 pia ni nyepesi mnoooo zinakuwa na engen ya 7a-fe,kwa engen ikiwa mpya inaenda km 16 highway kimjini km 10 hivi na teknolojia yake ni EFI yaani electronic fuel injection inatumia coil kwenye umeme hazina tofauti kubwa ktk matumizi ya mafuta na hizo Ti ambazo zinatumia engen ya 5a-fe cc1500 pia inatumia distributor yaani kianalog,Hapo kwenye 7a ndipo teknolojia ilipoishia kwa engen zenye serial A nadhani wakaamia vvti.
Hizo ni feki, original hazipauki...bei yake ipo juu kidogoUbaya wahizi gari najiuliza ukiikuta gari no C gari zilizo nyingi utakuta taa zimepauka vibaya hasa taa zanyuma