Ushauri CCM kumjibu Jaji Warioba itakuwa kukosa adabu na kudharau Wazee wa Taifa hili

Ushauri CCM kumjibu Jaji Warioba itakuwa kukosa adabu na kudharau Wazee wa Taifa hili

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Nitashanga na nitajiuliza mara kujiuliza kama kuna mwana ccm au mtu yeyote atamjibu Mzee Warioba.
Swali langu moja tu hamjiulizi JPM yupo wapi na aloe mjibu wazee wanawashwa washwa yupo wapi Alie sema hayo maneno?

Pili sio kila Mzee ni wakumjibu Jaji Warioba ameona mengi na anonyesha amekuwa kiongozi alie penda haki hata pale wakuu wake walipo fanya maamuzi yalikinzana na taratibu.

Jaji Warioba hatupaswi kumjibu ila tunapaswa kumsikiliza nakufanyia kazi. Jeshi letu na idaza zake hazipaswi kuingizwa kwenye siasa huwo ni ukweli mchungu tena mchungu sana na una madhara makubwa tukiudharau.

Jaji Warioba amesema kwa niaba ya wazee na mh Jakaya aliwahi sema "ukitaka nchi itulie sikiliza wazee" vijana tuache mihemko hichi chama hawa wazee wakiamua wanakipindua na mipango yenu yote mtaikuta baharini WAZEE WASIKILIZWE NA KUHESHIMIWE.
 
Acha kuleta vitisho vyako.yaani wewe siku zote unashindwa kujenga hoja na badala yake unatumia hisia kujadili mambo. Kwanini asijibiwe? Si kazi yake na haki yake ya kutoa maoni yake katimiza? Sasa kwanini uzuie wengine wasitumie haki kama aliyotumia yeye? Wewe hufai kabisa kuwa kiongozi maana una mawazo ya kidikiteta na kujiona siku zote una akili sana na haupaswi kupingwa au kukosolewa au kuambiwa ukweli.sasa huo ushauri wako unataka wenye akili Timamu na wanaojitambua waufuate? Waufuate kwa misingi upi?

Ndio nyie mkipewa uongozi mkakosolewa mnaanza kuwinda watu na kutaka kuwaua?si ni wewe ulitoaga vitisho kwa Ben saa nane wa CHADEMA? Kwa hiyo unataka leo uwafanye watu wajinga na kufikiri watu hawana kumbukumbu?huna uzalendo wowote ule zaidi ya hisia ,ubaguzi na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais. Ushauri wako ni wa kupuuzwa na hata andiko lako linapaswa kupuuzwa.
 
Acha kuleta vitisho vyako.yaani wewe siku zote unashindwa kujenga hoja na badala yake unatumia hisia kujadili mambo. Kwanini asijibiwe? Si kazi yake na haki yake ya kutoa maoni yake katimiza? Sasa kwanini uzuie wengine wasitumie haki kama aliyotumia yeye? Wewe hufai kabisa kuwa kiongozi maana una mawazo ya kidikiteta na kujiona siku zote una akili sana na haupaswi kupingwa au kukosolewa au kuambiwa ukweli.sasa huo ushauri wako unataka wenye akili Timamu na wanaojitambua waufuate? Waufuate kwa misingi upi?

Ndio nyie mkipewa uongozi mkakosolewa mnaanza kuwinda watu na kutaka kuwaua?si ni wewe ulitoaga vitisho kwa Ben saa nane wa CHADEMA? Kwa hiyo unataka leo uwafanye watu wajinga na kufikiri watu hawana kumbukumbu?huna uzalendo wowote ule zaidi ya hisia ,ubaguzi na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais. Ushauri wako ni wa kupuuzwa na hata andiko lako linapaswa kupuuzwa.
Kwenu hakuna wakubwa mwanangu Lucas?
 
Warioba kasema ukweli hata IGP anakubaliana nae
 
Nitashanga na nitajiuliza mara kujiuliza kama kuna mwana ccm au mtu yeyote atamjibu Mzee Warioba.
Swali langu moja tu hamjiulizi JPM yupo wapi na aloe mjibu wazee wanawashwa washwa yupo wapi Alie sema hayo maneno?

Pili sio kila Mzee ni wakumjibu Jaji Warioba ameona mengi na anonyesha amekuwa kiongozi alie penda haki hata pale wakuu wake walipo fanya maamuzi yalikinzana na taratibu.

Jaji Warioba hatupaswi kumjibu ila tunapaswa kumsikiliza nakufanyia kazi. Jeshi letu na idaza zake hazipaswi kuingizwa kwenye siasa huwo ni ukweli mchungu tena mchungu sana na una madhara makubwa tukiudharau.

Jaji Warioba amesema kwa niaba ya wazee na mh Jakaya aliwahi sema "ukitaka nchi itulie sikiliza wazee" vijana tuache mihemko hichi chama hawa wazee wakiamua wanakipindua na mipango yenu yote mtaikuta baharini WAZEE WASIKILIZWE NA KUHESHIMIWE.
Wewe mjinga acha kutishia watu kijinga. JPM alifikiwa na zamu yake kama ambavyo na sisi tutafikiwa. Haina uhusiano wowote na kauli yake. Hawa wazee wastaafu kama wanapenda kuendelea kubaki na heshima zao bora wangekaa tu kimya. Wao ndo waasisi wa huu ugumu wa maisha uliopo sasa hivi. Mzee Warioba hana utakatifu wa kutojibiwa. Binafsi nimeshawaahidi wanaJF kuwa nitatazama press yake na kuja kutoa tamko kuhusu alichosema. Hawezi ropoka kuwa taasisi zote za nchi hazifai isipokuwa JWTZ halafu akaliwe kimya. MIMI NITAMJIBU.
 
Wewe mjinga acha kutishia watu kijinga. JPM alifikiwa na zamu yake kama ambavyo na sisi tutafikiwa. Haina uhusiano wowote na kauli yake. Hawa wazee wastaafu kama wanapenda kuendelea kubaki na heshima zao bora wangekaa tu kimya. Wao ndo waasisi wa huu ugumu wa maisha uliopo sasa hivi. Mzee Warioba hana utakatifu wa kutojibiwa. Binafsi nimeshawaahidi wanaJF kuwa nitatazama press yake na kuja kutoa tamko kuhusu alichosema. Hawezi ropoka kuwa taasisi zote za nchi hazifai isipokuwa JWTZ halafu akaliwe kimya. MIMI NITAMJIBU.
Sasa kama polisi na usalama Wana shiriki kuteka na kuua watu na kuwatesa UTASEMA ZINAFAA?.
kama Kuna ulazma wowote wa kukamata watu.kwanni msiwapeleke mahakamani? lakini sio kuwatesa na kuwaua.
 
Mzee kasema ukweli mtupu , na ukweli unauma. C C.M tujitafakari kabla ya uchaguzi mkuu ujao, tunatakiwa tufanye yafuatayo ;
Kwanza, tuwe na Katiba mpya pili Tume huru ya uchaguzi( watumishi na wateule wa Rais ngazi za wilaya na mikoa) wasihusike kabisa kwenye uchaguzi mkuu ujao. Vinginevyo nawaona kabisa viongozi wa vyama vya upinzani wanaojitambua kutoshiriki uchaguzi huu mkuu ujao na wananchi nao kususia kabisa kushiriki . Matokeo yake viongozi watapatikana kwa uteuzi na si uchaguzi. NJIA TUENDAYO SIO NZURI INAWEZA KUTUPELEKA SOMALIA KAMA SIO MASHARIKI YA KATI.
 
Wewe mjinga acha kutishia watu kijinga. JPM alifikiwa na zamu yake kama ambavyo na sisi tutafikiwa. Haina uhusiano wowote na kauli yake. Hawa wazee wastaafu kama wanapenda kuendelea kubaki na heshima zao bora wangekaa tu kimya. Wao ndo waasisi wa huu ugumu wa maisha uliopo sasa hivi. Mzee Warioba hana utakatifu wa kutojibiwa. Binafsi nimeshawaahidi wanaJF kuwa nitatazama press yake na kuja kutoa tamko kuhusu alichosema. Hawezi ropoka kuwa taasisi zote za nchi hazifai isipokuwa JWTZ halafu akaliwe kimya. MIMI NITAMJIBU.
Unatumia vibaya jina La kiongozi wetu wa nchi.
 
Mzee kasema ukweli mtupu , na ukweli unauma. C C.M tujitafakari kabla ya uchaguzi mkuu ujao, tunatakiwa tufanye yafuatayo ;
Kwanza, tuwe na Katiba mpya pili Tume huru ya uchaguzi( watumishi na wateule wa Rais ngazi za wilaya na mikoa) wasihusike kabisa kwenye uchaguzi mkuu ujao. Vinginevyo nawaona kabisa viongozi wa vyama vya upinzani wanaojitambua kutoshiriki uchaguzi huu mkuu ujao na wananchi nao kususia kabisa kushiriki . Matokeo yake viongozi watapatikana kwa uteuzi na si uchaguzi. NJIA TUENDAYO SIO NZURI INAWEZA KUTUPELEKA SOMALIA KAMA SIO MASHARIKI YA KATI.
Huyu Mzee anajaribu kuulisadia taifa na viongozi waliolewa madaraka.

Huyu ni mzalendo anaowaambia familia ya Samia wasììchukulie Tanganyika poa.
 
Hawa wazee wa ccm ndo wahusika wakubwa wa dhulma ya kumnyima marehem maalim seif urais wa zanzibar kwa miaka 25, eti leo ndo wanajifanya wapenda haki kama si unafiki tu.
 
Hawa wazee wa ccm ndo wahusika wakubwa wa dhulma ya kumnyima marehem maalim seif urais wa zanzibar kwa miaka 25, eti leo ndo wanajifanya wapenda haki kama si unafiki tu.
Maalim angepata uongozi kungekuwa na tofauti gani zaidi ya kuvunja muungano?
 
Maalim angepata uongozi kungekuwa na tofauti gani zaidi ya kuvunja muungano?
Demokrasia ina maana gani sasa, kama mtu anashinda na kunyimwa ushindi kwa kisingizio cha kuvunja muungano.
 
Hakuna jambo la hatari kama suala la muungano kwa watanganyika.
Maadui wakuu wa tatu wa watanganyika ni:
1. Muungano
2. CCM
3. KATIBA.
BILA kurekebisha au kuviweka sawa ,na vingine kuviondoa, tutatumia miaka 100 kujikomboa.
 
Demokrasia ina maana gani sasa, kama mtu anashinda na kunyimwa ushindi kwa kisingizio cha kuvunja muungano.
Implications yake Mr Sound kwa wakati ule.

Muhimu kukumbuka nani alitaka Muungano , mapinduzi au nyie ngozi nyeusi mngejuwa Watumwa hadi leo waarabu kwenye nchi yenu. Huyo Samia anaweza kuwa Rais, kiongozi kwa serikali ya waarabu Zanzibar?
 
Mjinga atakibiwa sawa na ujinga wake, mzee anajua hilo, ila kwa desturi CCM usipojibiwa umedharauliwa . Kama ni kushauri taratibu anazijua vema kama sio kujitoa ufahamu.
 
Nitashanga na nitajiuliza mara kujiuliza kama kuna mwana ccm au mtu yeyote atamjibu Mzee Warioba.
Swali langu moja tu hamjiulizi JPM yupo wapi na aloe mjibu wazee wanawashwa washwa yupo wapi Alie sema hayo maneno?

Pili sio kila Mzee ni wakumjibu Jaji Warioba ameona mengi na anonyesha amekuwa kiongozi alie penda haki hata pale wakuu wake walipo fanya maamuzi yalikinzana na taratibu.

Jaji Warioba hatupaswi kumjibu ila tunapaswa kumsikiliza nakufanyia kazi. Jeshi letu na idaza zake hazipaswi kuingizwa kwenye siasa huwo ni ukweli mchungu tena mchungu sana na una madhara makubwa tukiudharau.

Jaji Warioba amesema kwa niaba ya wazee na mh Jakaya aliwahi sema "ukitaka nchi itulie sikiliza wazee" vijana tuache mihemko hichi chama hawa wazee wakiamua wanakipindua na mipango yenu yote mtaikuta baharini WAZEE WASIKILIZWE NA KUHESHIMIWE.
Ushauri wako mzuri lakini wameamua kuupuuzia!
 
Back
Top Bottom