Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Naona una matarajio ya kuokota dodo kwenye mwarobaini!! Mwache apate adhabu, sisi hatuangalii uso wa mtu, tunachoangalia ni kanuni na nidhamu kwa wachezaji!Habari Wapenda Soka.
Nawashauri Watani Zangu Simba Sc Maana Naona Wamechanganyikiwa Na Mikiki Mikiki Ya Mashindano Yote.
Wameanza Kuwasimamisha Wachezaji Wao, Na Hiyo Ni Dalili Kama Ambayo Mfa Maji Hakosi Kutapatapa. Na Kutapatapa Kwao Wamemsimamisha Mwamba Wa Lusaka Triple C (Clatous Chota Chama).
Sasa Mimi Nawashauri Vyema Kabisa Kumuweka Nje Ya Uwanja Kwa Muda Usiojulikana Kwa Mchezaji Kama Yule Ni Kuendelea Kuua Kiwango Chake Ambacho Mlikuwa Mkimsujudu Kila Kukicha Pale Msimbazi.
Hivyo Basi Mleteni Young Africans Kwa Mkopo Mwisho Wa Msimu Mje Kumchukua Najua Itawafunza Kidogo Ili Mfahamu Adhabu Mliyompa Iwe Positive Kwa Mchezaji Na Atawasaidia Akirudi.
Watani Mmechanganyika Mmekuwa Kama Mfa Maji Hakosi Kutapatapa.
Nawasilisha Kwenu Wanazengo Na Wapenda Soka Wote.
Sasa subiri tuone namna atakavyo nyumbulika na mabingwa wa Dar Young AfricansMzee Chama hawezi falsafa ya Yanga...mpira wa Yanga ni wa speed kubwa kuliko uchezaji wa Mzee chama
Sawa mkuuNaona una matarajio ya kuokota dodo kwenye mwarobaini!! Mwache apate adhabu, sisi hatuangalii uso wa mtu, tunachoangalia ni kanuni na nidhamu kwa wachezaji!
Kaja sasaOna kenge hii, akienda Yanga atachukua namba ya nani?
Leo hiiYanga tushatoka huko
Hatusajili kwa mihemko
Kama ana tuhuma za utovu wa nidhamu basi atumikie adhabu yake
Mtovu wa nidhamu Yanga wa nini?
πππKaja sasa