Ushauri: Display/Showcase Fridge, Mtumba au Mpya?.

Ushauri: Display/Showcase Fridge, Mtumba au Mpya?.

JourneyMan

Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
42
Reaction score
50
Wadau nahitaji Showcase/display fridge ya lita 300-380, kwa ajili ya biashara..
Nikinyoosha sana mkono Naishia 1.5M, kulingana na Brand na ujazo.

Brands ninazoziwaza ni kati ya
Midea
FB_IMG_1733637612048.jpg

Haier
IMG-20241205-WA0010.jpg

Hisense
Screenshot_20241208_090713_Google.jpg

Westpoint
Screenshot_20241128_163705_Facebook.jpg

Bruhm
Screenshot_20241208_091147_Facebook.jpg
au
Von,
Screenshot_20241208_091302_Chrome Dev.jpg


Ninacho omba kujua kwa wazoefu, kuna za mtumba Nyingi tu kama LG, Samsung n.k kutoka Nje, naona zinachezea kuanzia 500k, jee kuna aliyeshatumia? Zinadumu?

Hisense kila yule ana case yake, inanichanganya sana.

Naomba mawazo yenu, hasa hapo kwenye Mpya kwanza.
 
Ningekushauri Haier, Von.
Huyo Hisense natamani awe namba 3 ila na mimi simuelewi.

NB: kupata ushauri, Subiri hata kesho halafu andika hivi..

"NIMEPIGWA, NIMENUNUA FRIDGE YA ALITOP JUZI, LEO IMEZIMA 😪😪😪'"

Hapo watu wengi watakimbilia kwenye uzi wako kukucheka halafu ndio Watakushauri/ringishia brand nzuri/wanazotumia.
Utapata pa kuanzia..
 
Screenshot_20250201_195359_ChatGPT.jpg

Wakati na search, nisingemkuta Haier top 3, ningeweka mgomo,

Pili ukitaka majibu mazuri Waulize mafundi, watakuambia ni brand ipi kila siku wanaipokea kurekebisha, Japo hii haitoshi maana brand iliyojaa sana automatically itaonekana mara nyingi zaidi, mfn Hisense.
 
Back
Top Bottom