Ushauri: Display/Showcase Fridge, Mtumba au Mpya?.

JourneyMan

Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
42
Reaction score
50
Wadau nahitaji Showcase/display fridge ya lita 300-380, kwa ajili ya biashara..
Nikinyoosha sana mkono Naishia 1.5M, kulingana na Brand na ujazo.

Brands ninazoziwaza ni kati ya
Midea
Haier
Hisense
Westpoint
Bruhm au
Von,

Ninacho omba kujua kwa wazoefu, kuna za mtumba Nyingi tu kama LG, Samsung n.k kutoka Nje, naona zinachezea kuanzia 500k, jee kuna aliyeshatumia? Zinadumu?

Hisense kila yule ana case yake, inanichanganya sana.

Naomba mawazo yenu, hasa hapo kwenye Mpya kwanza.
 
Ningekushauri Haier, Von.
Huyo Hisense natamani awe namba 3 ila na mimi simuelewi.

NB: kupata ushauri, Subiri hata kesho halafu andika hivi..

"NIMEPIGWA, NIMENUNUA FRIDGE YA ALITOP JUZI, LEO IMEZIMA 😪😪😪'"

Hapo watu wengi watakimbilia kwenye uzi wako kukucheka halafu ndio Watakushauri/ringishia brand nzuri/wanazotumia.
Utapata pa kuanzia..
 

Wakati na search, nisingemkuta Haier top 3, ningeweka mgomo,

Pili ukitaka majibu mazuri Waulize mafundi, watakuambia ni brand ipi kila siku wanaipokea kurekebisha, Japo hii haitoshi maana brand iliyojaa sana automatically itaonekana mara nyingi zaidi, mfn Hisense.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…