Mkuu upo sahihiMitetemeko mingi husababishwa na Engine mounting rubber...pia kuna mengi kama Plug zimechoka, pia exhaust pipe system kama haipumulishi vizuri engine.., kuna belt pia ikiwa loose au tight yaani imekakamaa, also compressor ya a/c ikiwa imechoka bearings zake
Mpigie Fundi Magona 0658013011 Yupo poa sana na bei zake ni poa ukimuita popote anakuja Spear unaenda nae kununua Make sure unanunua original Spear acha ubahiliMkuu upo sahihi
Sasa naomba msaada kama kuna mtaalamu ambae unadhani ataweza kunisaidia
Last time kama miezi 2 imepita, nilinunua engine mount moja ilikuwa bush yake imekatika, na tatizo lilikuwa hilo. Ukisimama foleni ikawasha feni kupoza injini, gari inatetemeka ndani. Baada ya kubadili hiyo engine mount ikatulia. Ilikuwa elfu 90, gari ni Toyoya.Zilikugharimu bei gani mpe mwongozo muhanga na kwa faida ya wengine.
Mkuu mimi niko mbioni kununua iyo gari Toyota allion naomba uniambie kerozake na rahazake kabla sijainunua plzNdugu zangu nimatumaini yangu wote niwazima, nina Toyota Allion ambayo in a ratio lakutetemeka pindi ukiwasha a/c.
Nilijaribu kupeleka kwa mafundi wakaniambia nibadilishe compressor na condensor nilifanya hivyo ila hakukuwa na mabadiliko yoyote.
Naomba kama kuna fundi au mtu yeyote mwenye ushauri anisaidie maana nateswa nalo sanaaa
Hahah pressure inapanda,pressure inashuka.Kero za Nissan X-trail hazimithiliki. Ugonjwa wa Moyo
Nissan x-trail ni gari miongoni mwa gari nzuri sana, tatizo la wamiliki ndio tunasingizia gari lenyewe.Kero za Nissan X-trail hazimithiliki. Ugonjwa wa Moyo
PooaNissan x-trail ni gari miongoni mwa gari nzuri sana, tatizo la wamiliki ndio tunasingizia gari lenyewe.
Hiyo gari haitaki ramli za mafundi, tatizo lolote ktk engine ingiza ktk diagnosis/computer na sio kuipigia ramli chini ya miembe. Hapo utaifurahia.