Ushauri: Fungate ya uhuru

Ushauri: Fungate ya uhuru

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Karamu za fahari, mabembe ya kupepea.
Na majumba mazuri, wamekwisha jijengea.
Watembea kawa magari, hivi zimewazow

"Viongozo wa Afrika
Wanaotumia mapesa,
Wakaogelea anasa,
Nayo mitindo ya kisiasa,
Wakavamia kwa sesa.."


"Viongozi wa Afrika, wanaotawala kwa mabavu,
Kujifanya ni washupavu,
Wao wachache ni werevu,
Na umma wote ni wapumbavu,
Wanafiki,
Wazandiki."
 
Back
Top Bottom