Ushauri(Gharama za Ujenzi nyumba ya kawaida ya vyumba 3)

Wengine ni wezxi na wengine wanakop[a na wengine ni wafanya biashara, wengine wamejiajiri na hawategemei hii mishahara ya kinyonyaji...... wewe ukilipwa na slave master wako 1M yeye kwa wiki anaingiza 7M kwa vibiashara vyake vidogodogo...... KUJIAJIRI!!!:fish2:
 
mmmhhhh
 



Mkuu hapo kwenye No.1; Ni akina nani wanafanya hii shughuli sababu mimi nina kiwanja changu ila kina slope kwa kwenda chini, sasa nikipata hawa watu information zao zitanisaidia sana kutimiza ndogo yangu ya muda mrefu. Msaada wako mkuu ahsante.

NB: Mkuu hiyo cadastral plan nahisi ninayo, si ndiyo ile inatolewa na ardhi? Ila kizungumkuti kinabaki kwenye Topographical map
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…