have wana jf.mi n mwanaume Nina ------ makubwa utafikir dem et. mpska najisikia vibaya nikichomekea ninavyotuna nyuma.nawaomben ushaur nitumie dawa/mazoez gan I'll angalau yapungue
Jikubali tu...kuwa na bambataa kubwa hakumaanishi ww sio mwanaume wa kweli mkuu unless kuwe na kitu kingine.
Ye hataki....muelejeze mazoezi ya kufanya
ht Hanna kingne ila aibu turn pak a nawaza. kwl dunia haina huruma kuna wanawake wapo flat AF mi npo hv