AmethubutuHutakiwi kuogopa lugha tena ukizingatia ni ya wageni
Amedhubutu.
Kwa kweli sio kama mleta uzi mwoga mwogaAmethubutu
Hakika mkuu ndio maana kwa watoto huwa ni wepesi sana kujua ENGLISH wao wananyoosha tuu Iwe Broken iwe nn 😃 na wala hawaoni aibu mpka wanakijuaAmejitahidi, tena hongera kwa kuthubutu na si lazima ujue kila kitu. Woga wetu ndio unaotufanya tusijue pia na kukatishana tamaa. Cha msingi umeelewa. Shame on you also for looking only in errors and understanding.
Hakika mkuu ndio maana kwa watoto huwa ni wepesi sana kujua ENGLISH wao wananyoosha tuu Iwe Broken iwe nn 😃 na wala hawaoni aibu mpka wanakijuat
Your advice should be in english!Harmonize wewe ni msanii Mkubwa Tanzania lakini unafeli sana anapolazimisha kuandika English lhali bado hujakijua vizuri.
Harmonize unaonekana haupo Serious kwenye post zako kwa kuandika Ngeli Mbovu na zisizo na maana kwa wanaojua English pekee.
View attachment 2956342
BADILIKA MKUU.