Mrudie Muumba wakoNatafuta hela na zinapotea kwa mkupuo mkupuo ivi nitaendelea kweli najitahidi sana kufanya mahesabu sahihi ila nachoshangaa nikiwa sina pesa nakuwa na amani Wala hakuna anayeniomba.
Lakini nikizipata tu matatizo yanakuja speed ya 4G na zikiisha narudi normal.
Hii kitaalum inakuwaje
Ndo kinachomtesa😃😃😃tatizo mentality yako imelenga kwenye ushirikina.
Piga salaNatafuta hela na zinapotea kwa mkupuo mkupuo ivi nitaendelea kweli najitahidi sana kufanya mahesabu sahihi ila nachoshangaa nikiwa sina pesa nakuwa na amani Wala hakuna anayeniomba.
Lakini nikizipata tu matatizo yanakuja speed ya 4G na zikiisha narudi normal.
Hii kitaalum inakuwaje
😭Ndo kinachomtesa
Ulipotezaje bila kujua?Mie jana nilipoteza 20K bila kujua ,imeniuma kweli kweli
Anachotakiwa kufanya ni kubadili mtazamo na kuomba sana Mungu
Kaloge mwanangu. Loga kweli kweli
Hapo hutoboi utaboa tukapige ndumba kisha rudi kwa mungu
Haya maisha kama umeamua kua mchawi roga kwelikweliAnachotakiwa kufanya ni kubadili mtazamo na kuomba sana Mungu
Na kweli😃😃...ila sasa inabidi uchague upande mmoja kama ni kwa Mungu au ulozi, ukichanganya mambo umeisha😃😃Haya maisha kama umeamua kua mchawi roga kwelikweli
Ndio sijui mkuuUlipotezaje bila kujua?
Nidhamu ya pesa ni ugonjwa wetu kama hesabu tu za shule zilivo. Kwanini hii elimu haifundishwi sana wakati ndio msingi wa mafanikio ya kiuchumi?Kuna vitu hujaviweka wazi ili uweze kupata ushauri muafaka.
Awali ya yote, hizo pesa unazipataja nikimaanisha umeajiriwa ama unafanya biashara.
Hayo matatizo yanayokuja ni ya aina gani na je yanajirudia kila upatapo pesa.
Tatu na kubwa zaidi je matumizi yako yanashabihiana na kipato unachoingiza?
Isije ikawa huna mishe ya maana ya kukuingizia pesa continuosly halafu unatarajia ukigumia pesa zitakaa.
Isije ikawa unaendekeza mambo ya kijinga kama vile kamari na pombe halafu unatarajia pesa isipuputike ghafla.
La muhimu zaidi isije ikawa unaingiza laki moja kwa mwezi huku maisha yako unaishi ya milioni kwa mwezi.
Mara nyingi kwenye swala la pesa kikubwa ni nidhamu ya matumizi. Usipothamini shilingi 100 kwa kukimbilia elfu 10, niamini hutokuja kukaa ukapata pesa. Hata milioni huanzia na shilingi mia.
Kuna mtu hapo juu ka comment kuwa umeelekeza fikra zako kwenye ushirikina, hakukosea. Huko ndio unaenda kumalizwa kabisa huku ukinufaisha waganga/mitume wa makanisa feki/ma ustaadh uchwara.
Mchawi mkubwa wa pesa zako ni tabia/nidhamu yako ya matumizi. Jichunguze kwanza.
Kuna vitu hujaviweka wazi ili uweze kupata ushauri muafaka.
Awali ya yote, hizo pesa unazipataja nikimaanisha umeajiriwa ama unafanya biashara.
Hayo matatizo yanayokuja ni ya aina gani na je yanajirudia kila upatapo pesa.
Tatu na kubwa zaidi je matumizi yako yanashabihiana na kipato unachoingiza?
Isije ikawa huna mishe ya maana ya kukuingizia pesa continuosly halafu unatarajia ukigumia pesa zitakaa.
Isije ikawa unaendekeza mambo ya kijinga kama vile kamari na pombe halafu unatarajia pesa isipuputike ghafla.
La muhimu zaidi isije ikawa unaingiza laki moja kwa mwezi huku maisha yako unaishi ya milioni kwa mwezi.
Mara nyingi kwenye swala la pesa kikubwa ni nidhamu ya matumizi. Usipothamini shilingi 100 kwa kukimbilia elfu 10, niamini hutokuja kukaa ukapata pesa. Hata milioni huanzia na shilingi mia.
Kuna mtu hapo juu ka comment kuwa umeelekeza fikra zako kwenye ushirikina, hakukosea. Huko ndio unaenda kumalizwa kabisa huku ukinufaisha waganga/mitume wa makanisa feki/ma ustaadh uchwara.
Mchawi mkubwa wa pesa zako ni tabia/nidhamu yako ya matumizi. Jichunguze kwanza.