Ushauri: Idadi ya Wabunge ipungue ili kupunguza gharama za mishahara na kuwahudumia

Ushauri: Idadi ya Wabunge ipungue ili kupunguza gharama za mishahara na kuwahudumia

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Tanzania haihitaji watu wengi kwenye bunge.

Kinachohitajika ni mawazo sio wingi wa wabunge bungeni.

Huwa nafundisha kila siku na nitaendelea kufundisha kwamba dunia huongozwa na mawazo haiongozwi na wingi wa watu.

Tukipunguza idadi ya wabunge bungeni tutaokoa fedha nyingi sana ambazo zitajenga hospitali, shule na kusambaza maji vijijini.
 
Wabunge ni wawakilishi wa wananchi, ili wabunge wapungue inabidi wananchi wanaowakilishwa wapungue🐒
 
Wazo zuri sana hili nahisi spika ndungai aliomba njia mbadala ya kupata fedha nikupunguza wabunge tena kila mkoa hawe mbunge mmoja tu na salary ipungue pia.
 
Tena hawana faida ni wagonga meza tuu
Tena hawana faida ni wagonga meza tuu
Yaani aisee mie naungana mkono wapunguze wabunge, na labda wabaki angalau tu mbunge mmoja kila mkoa anatosha, maana sioni tija yoyote kwa uwakilishi wao wa sasa ktk kuisimamia kwa dhati serikali na kwenye kutatua changamoto za wananchi ili kuleta maendeleo yao........na hapa katiba mpya itahusika!
 
Pia wabunge walipwe na wananchi wa jimbo walipotoka
Kila mkoa uwe na mbunge mmoja wa kuwawakilisha wananchi bungeni, sio maswala ya CCM kuzalisha kanda hazina vichwa wala miguu sijui ya Wilaya Mjini/Wilaya Kijijini ilimradi wawe na wabunge wengi. Unakuta Mkoa mmoja una wabunge 8 wote wanaenda kupiga meza tu.

Halafu mtu akiwa Waziri marufuku kuwa mbunge. Maswala ya kupokea mishahara na posho mbili mbili ni matumizi mabaya ya hela za wananchi.
 
Wabunge ni wawakilishi wa wananchi, ili wabunge wapungue inabidi wananchi wanaowakilishwa wapungue🐒
Ratio ya wabunge iwiyane na population, kwa mfano zanzibar kuna wabunge zaidi ya 50 kwenye watu million 1, wakati hata wakiwa 2 basi ni wengi.
Na kama kutakuwa na wabunge 50 kila watu 1 basi kwenye watu million 60 inatakiwa tuwe na wabunge 3000,
 
Tanzania haihitaji watu wengi kwenye bunge.

Kinachohitajika ni mawazo sio wingi wa wabunge bungeni.

Huwa nafundisha kila siku na nitaendelea kufundisha kwamba dunia huongozwa na mawazo haiongozwi na wingi wa watu.

Tukipunguza idadi ya wabunge bungeni tutaokoa fedha nyingi sana ambazo zitajenga hospitali, shule na kusambaza maji vijijini.
View attachment 1873411
Wabunge wawe hamsini tu,tufute ma DC na Ma RC,wabaki Ma RAS,na Ma DAS,mawaziri wawe 10 tu,sio kila waziri lazima apewe gari,
Waziri akienda mkoani,apande Ndege au basi,akifika mkoa husika,atapewa usafiri na ofisi ya RAS,au DAS,badala ya kutumia VX,V8,zitumike cruza mkonga,
Wakurugenzi wengine,watumie magari yao binafsi.Msafara wa Raisi ziwe gari nne tu.viongozi wengine gari tatu tu.
 
Tanzania haihitaji watu wengi kwenye bunge.

Kinachohitajika ni mawazo sio wingi wa wabunge bungeni.

Huwa nafundisha kila siku na nitaendelea kufundisha kwamba dunia huongozwa na mawazo haiongozwi na wingi wa watu.

Tukipunguza idadi ya wabunge bungeni tutaokoa fedha nyingi sana ambazo zitajenga hospitali, shule na kusambaza maji vijijini.
View attachment 1873411
Tangu lini mtumwa akawa na nguvu kwa master wake?

Tuendelee kukamuliwa ili wachache wanufaike
 
Tanzania haihitaji watu wengi kwenye bunge.

Kinachohitajika ni mawazo sio wingi wa wabunge bungeni.

Huwa nafundisha kila siku na nitaendelea kufundisha kwamba dunia huongozwa na mawazo haiongozwi na wingi wa watu.

Tukipunguza idadi ya wabunge bungeni tutaokoa fedha nyingi sana ambazo zitajenga hospitali, shule na kusambaza maji vijijini.
View attachment 1873411
Sawasawa
 
Mimi kinachoniumiza ni pale ambapo Kila bajeti inapopitishwa asilimia kubwa inatengwa kwa ajili ya kuendesha serikali harafu asilimia ndogo ndiyo inayotengwa kwa ajili ya Maendeleo!
 
Tanzania haihitaji watu wengi kwenye bunge.

Kinachohitajika ni mawazo sio wingi wa wabunge bungeni.

Huwa nafundisha kila siku na nitaendelea kufundisha kwamba dunia huongozwa na mawazo haiongozwi na wingi wa watu.

Tukipunguza idadi ya wabunge bungeni tutaokoa fedha nyingi sana ambazo zitajenga hospitali, shule na kusambaza maji vijijini.
View attachment 1873411
Viti maalumu vyote vifutwe
 
Back
Top Bottom