Katiba ya Warioba ilipendekeza idadi ya wabunge wabaki 75 tu.Pia wabunge walipwe na wananchi wa jimbo walipotoka
Hata majimbo yapungue kuwe na mbunge wa wilayaTutakuwa tumepunguza watu zaidi ya 110 bungeni hatua nzuri sana.
Wabunge wa kuteuliwa na rais wale 10 nao waondolewe bungeni tutakuwa tumefanya la maana sana.
Mimi hata sioni faida ya kuwa na wabunge kabisa kwani wako pale kushibisha matumbo yao tu.Tanzania haihitaji watu wengi kwenye bunge.
Kinachohitajika ni mawazo sio wingi wa wabunge bungeni.
Huwa nafundisha kila siku na nitaendelea kufundisha kwamba dunia huongozwa na mawazo haiongozwi na wingi wa watu.
Tukipunguza idadi ya wabunge bungeni tutaokoa fedha nyingi sana ambazo zitajenga hospitali, shule na kusambaza maji vijijini.
View attachment 1873411
Hivi mikoa yote ina wilaya ngapi ?Hata majimbo yapungue kuwe na mbunge wa wilaya
132Hivi mikoa yote ina wilaya ngapi ?
Tunahitaji wabunge wasiozidi 150 tu!!!!Tanzania haihitaji watu wengi kwenye bunge.
Kinachohitajika ni mawazo sio wingi wa wabunge bungeni.
Huwa nafundisha kila siku na nitaendelea kufundisha kwamba dunia huongozwa na mawazo haiongozwi na wingi wa watu.
Tukipunguza idadi ya wabunge bungeni tutaokoa fedha nyingi sana ambazo zitajenga hospitali, shule na kusambaza maji vijijini.
View attachment 1873411
Unafika jimboni unasema kazi uliyofanya then wananchi wakikubaliana na ww bc wakulipe.Hii imekaa vizuri,tutapata wazalendo
Unamaanisha?Wabunge ni wawakilishi wa wananchi, ili wabunge wapungue inabidi wananchi wanaowakilishwa wapungue🐒
Muosha, huoshwa...tukitaka kuwapunguza na wao watataka kutupunguza 🤣Unamaanisha?
Marekani ina population ya watu wangapi? na wabunge wapo wangapi? Tuletee data mkuuWewe sijui uchumi wako ulisomea wapi!. Ukitaka ubane kila kona hivi mzunguko wa fedha utawafikiaje wananchi?. Nchi yenye wakazi zaidi ya milioni hamsini kuwa na wawakilishi zaidi ya mia NNE bungeni ni jambo muhimu sana. Sio kila jambo ni la kupinga tu bila tathmini ya kina.
MawaxoWabunge wawe hamsini tu,tufute ma DC na Ma RC,wabaki Ma RAS,na Ma DAS,mawaziri wawe 10 tu,sio kila waziri lazima apewe gari,
Waziri akienda mkoani,apande Ndege au basi,akifika mkoa husika,atapewa usafiri na ofisi ya RAS,au DAS,badala ya kutumia VX,V8,zitumike cruza mkonga,
Wakurugenzi wengine,watumie magari yao binafsi.Msafara wa Raisi ziwe gari nne tu.viongozi wengine gari tatu tu.
Hiyo ni marekani na hii Tanzania. Hatuwezi kuiga kila kitu kama dodoki.Marekani ina population ya watu wangapi? na wabunge wapo wangapi? Tuletee data mkuu
Sasa haiwezekani nchi maskini ikatumia fedha nyingi kuwatunza wabunge huku nchi tajiri ikitumia fedha kidogo.Mawaxo
Hiyo ni marekani na hii Tanzania. Hatuwezi kuiga kila kitu kama dodoki.
Viti maalum vifutwe vinaongeza gharama isiyokua na tija. Vyama vya siasa vihimizwe kuhakikisha vinapata wagombea wa majimbo wenye kufaa bila kukosekana uwiano mzuri wa jinsia.Tanzania haihitaji watu wengi kwenye bunge.
Kinachohitajika ni mawazo sio wingi wa wabunge bungeni.
Huwa nafundisha kila siku na nitaendelea kufundisha kwamba dunia huongozwa na mawazo haiongozwi na wingi wa watu.
Tukipunguza idadi ya wabunge bungeni tutaokoa fedha nyingi sana ambazo zitajenga hospitali, shule na kusambaza maji vijijini.
View attachment 1873411