Ushauri: Idara ya usalama Mkoa wa Dar es Salaam ibadilishwe kwa kushindwa kuiona move ya wafanyabiashara wa Kariakoo, na kutoa taarifa mapema

Ushauri: Idara ya usalama Mkoa wa Dar es Salaam ibadilishwe kwa kushindwa kuiona move ya wafanyabiashara wa Kariakoo, na kutoa taarifa mapema

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Eneo kama Kariakoo, ilitarajiwa suti nyeusi wawepo kwa Kila namna, wawepo kama wamiliki wa maduka, kama watendaji wa mitaa na Kata, wauza kahawa, machinga, wawe ndani ya mchezo na mbele ya matukio yanayopangwa, na kama inabidi, waendeshe udukuzi wa kiuchumi wa mawasiliano ya kingpins wote wa kariakoo, na Kila mara wayafanyie tathmini.

Walitakiwa kuwa ndani ya vikao vya wapanga migomo, wakishiriki kama wafanyabiashara ila wako kazini.

Mpaka unatokea mgomo, na hawana taarifa, au wanazo lakini hawajazi process katika channels za viongozi, ili viongozi wachukue hatua mapema, nadhani pia wasiachwe, na wao waende mahala pengine, iingie smart team.

Wasalaam.
 
Mgomo ni haki iliyomo kwenye katiba, ndio maana ninahitaji idara hizi za usalama zivunjwe na kujengwa upya, na ujengaji huu mpya utazingatia utumiaji mkubwa wa technology.

Na wale above 40yrs wote watastaafishwa kwa manufaa ya umma,nitaingiza young and ambitious graduates, train them na nitatengeneza special units nyingi,

Police watakua na foresinc lab yao pale Singida, na kanda zote zitakua na min foresinc labs, ninausubiria urais wangu wa 24hrs nitafanya haya na pia home affairs ministry nitaigawa, police na home affairs (uraia na immigrations).
 
Nchi yetu ina raia 'soft' sana. Watawala wenye akili hutumia chance hiyo kutengeneza mifumo imara ya kiusalama badala ya kupunguza kipaumbele ktk eneo hilo
 
Kwamba hawapo? Munajua musipendege kujimaliza mkuu? Hao viongozi tu hapo baadhi unawajua kweli?[emoji23] ama hujui kama wengine ni wamiliki kabisa wa maduka? Idara ni pana mkuu
 
Naona unataka kutajirisha watu kiaina . Suti nyeusi amiliki duka kariakoo mtaji unakuwa umetoka wapi,? Kodi atakuwa analipa wapi? Yatakuwa mangapi kwa radius ya kariakoo? Mbona itakuwa majanga
Mkuu, omba ujuzwe[emoji23][emoji23][emoji23]
Unasemaje? Unaongelea maduka? Watu wana makampuni kabisa? Kuwa serious mkuu
 
Movie za Marekani zimekuharibu sana. Hii ni Tanzania mkuu, ukute hao jamaa uliowataka wawe mstari wa mbele wapo na wamefanya hayo lakini matokeo yamegoma
 
Mtoto wa Mama Samia naye hajafungua duka lake
 
Back
Top Bottom