amilyroley
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 621
- 1,200
Na-Paste Text yake...
Naombeni msaada wa ushauri ndugu zangu.
Mimi ni msichana na Nina mpenzi wangu tumedumu kwa miaka mitatu sasa. Nilifahamiana naye nikiwa form six na kuanzia wakati huo tukawa wapenzi. Ananipenda sana kuanzia mwanzo had sasa, sijawahi kumkuta hata na text ya binti yeyote kwenye simu yake na sijawah kugombana na boyfriend wangu Huyu kwa ajili ya mwanamke mwingine.
Anajiheshimu na kuniheshumu sana. Zaidi ananihudumia tangu nikiwa kidato cha sita mpaka muda huu nipo mwaka wa pili chuo kikuu hapa mjini.
Anafanya kazi katika kampuni moja ya mawasiliano. Kuanzia nilipokuwa kidato cha sita alinipa chochote nachotaka mpaka muda huu hajawah kubadilika. Kwa asilimia zote yeye ndiye aliyeshugulika michakato yote nilipomaliza kidato cha sita hapa namaanisha fomu za bodi ya mkopp, TCU, jeshi na nyinginezo ni yeye ndiye aliyenijazia kwa pesa zake na kuzituma.
Amehakikisha hadi nafika chuo na mpaka muda huu bado ananihudumia. Napata huduma zote kama mwanamke na shopping ni kila wikiend.
TATIZO LIMEIBUKA.
Zimeibuka taarifa kuwa mpenzi wangu huyu ambaye nampenda sana na tunatarajia kuoana baadaye kuwa kabla hajawa na mimi alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na ndugu zangu wawili, mmoja dada yangu mtoto wa mama mkubwa na mwingine mdogo wangu mtoto wa shangazi.
Inasemekana boy wangu huyu aliwapitia kwa nyakati tofauti kabla hajakutana na mimi lakini. Kati ya hao ndugu zangu mmoja amekubali na kukiri kuwa alitoka naye, ila mwingine amekataa hajatoka na boy wangu.
Na huyu boyfriend wangu amekataa kabisa kuwa hajawah kutoka na ndugu yangu yeyote. Inshu imejulikana tayari katika familia yangu. Kwa tukio hilo mama na kaka zangu wamemkataa kabisa boyfriend wangu kuwa ni laana na hawapo tayari kumuona akija nyumbani baadae kuniposa eti kwa sababu ya tukio hilo kuwa zamani kabla yangu alitoka na ndugu zangu wawili kitu ambacho boyfriend wangu amekataa kabisa kuwa hajawahi na mmoja wa hao dada zangu amekubali alitoka naye ila mwingine amekanusha.
Nampenda sana boyfriend wangu ananipenda sana pia na kunihudumia kwa kila kitu. Nipo njia panda. Ni kweli mapenzi wakat mwingine huhitaji ushauri ni kuamua you kulingana na matakwa ya moyo ila kwa kuwa yamehisisha na familia ndio maana nataka ushauri wenu ndugu zangu.
Nishauri lolote unalohisi ni busara. Nahitaji ushauri wako unisaidie kufanya maamizu.
Nifanyeje Jamani nipo kwenye wakati mgumu sana. Boyfriend wangu huyu anasubiri maamuzi yangu na msimamo wake ni ule ule kuwa hajawahi kutoka na hao ndugu zangu.
NISAIDIENI USHAURI NDUGU ZANGU.
Naombeni msaada wa ushauri ndugu zangu.
Mimi ni msichana na Nina mpenzi wangu tumedumu kwa miaka mitatu sasa. Nilifahamiana naye nikiwa form six na kuanzia wakati huo tukawa wapenzi. Ananipenda sana kuanzia mwanzo had sasa, sijawahi kumkuta hata na text ya binti yeyote kwenye simu yake na sijawah kugombana na boyfriend wangu Huyu kwa ajili ya mwanamke mwingine.
Anajiheshimu na kuniheshumu sana. Zaidi ananihudumia tangu nikiwa kidato cha sita mpaka muda huu nipo mwaka wa pili chuo kikuu hapa mjini.
Anafanya kazi katika kampuni moja ya mawasiliano. Kuanzia nilipokuwa kidato cha sita alinipa chochote nachotaka mpaka muda huu hajawah kubadilika. Kwa asilimia zote yeye ndiye aliyeshugulika michakato yote nilipomaliza kidato cha sita hapa namaanisha fomu za bodi ya mkopp, TCU, jeshi na nyinginezo ni yeye ndiye aliyenijazia kwa pesa zake na kuzituma.
Amehakikisha hadi nafika chuo na mpaka muda huu bado ananihudumia. Napata huduma zote kama mwanamke na shopping ni kila wikiend.
TATIZO LIMEIBUKA.
Zimeibuka taarifa kuwa mpenzi wangu huyu ambaye nampenda sana na tunatarajia kuoana baadaye kuwa kabla hajawa na mimi alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na ndugu zangu wawili, mmoja dada yangu mtoto wa mama mkubwa na mwingine mdogo wangu mtoto wa shangazi.
Inasemekana boy wangu huyu aliwapitia kwa nyakati tofauti kabla hajakutana na mimi lakini. Kati ya hao ndugu zangu mmoja amekubali na kukiri kuwa alitoka naye, ila mwingine amekataa hajatoka na boy wangu.
Na huyu boyfriend wangu amekataa kabisa kuwa hajawah kutoka na ndugu yangu yeyote. Inshu imejulikana tayari katika familia yangu. Kwa tukio hilo mama na kaka zangu wamemkataa kabisa boyfriend wangu kuwa ni laana na hawapo tayari kumuona akija nyumbani baadae kuniposa eti kwa sababu ya tukio hilo kuwa zamani kabla yangu alitoka na ndugu zangu wawili kitu ambacho boyfriend wangu amekataa kabisa kuwa hajawahi na mmoja wa hao dada zangu amekubali alitoka naye ila mwingine amekanusha.
Nampenda sana boyfriend wangu ananipenda sana pia na kunihudumia kwa kila kitu. Nipo njia panda. Ni kweli mapenzi wakat mwingine huhitaji ushauri ni kuamua you kulingana na matakwa ya moyo ila kwa kuwa yamehisisha na familia ndio maana nataka ushauri wenu ndugu zangu.
Nishauri lolote unalohisi ni busara. Nahitaji ushauri wako unisaidie kufanya maamizu.
Nifanyeje Jamani nipo kwenye wakati mgumu sana. Boyfriend wangu huyu anasubiri maamuzi yangu na msimamo wake ni ule ule kuwa hajawahi kutoka na hao ndugu zangu.
NISAIDIENI USHAURI NDUGU ZANGU.