Ushauri Jamani on App Promotion [emoji120]

Brave_Idiot

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2023
Posts
209
Reaction score
368
Mzee wangu anaamini sana kwenye kilimo, nahofia nikimuomba mtaji wakuipromote app yangu ataona huyu kijana ananiletea utandawazi nyumbani kwangu. Ninamsimamia kazi yake moja huku Dar, yeye yupo Mwanza. Sasa nataka nivute laki tano chapu kwenye mfuko wa mauzo yake, niipromote hii app na ndani ya wiki niwe nauwezo wakuilejesha hela yake kabla hajanishtukia. Naamini nikiweza Kutengeneza downloads laki moja playstore, haitokua ngumu kurudisha hicho kiasi au na zaidi.

App inamfumo kama wa YouTube 100%, sasa nilikua naomba ushauri wa mfumo gani nitumie kuipromote kwa haraka nakufikia hayo malengo. Kiupande wangu nilikua nafikilia kuwatumia ma tiktoker kama clam vevo au Steve mweusi sema naona Balance ndo inakataa!!!

Msaada wa ushauri jamani nisije fukuzwa nyumbani [emoji26][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…