pole kaka! Huenda ikawa ni fungus,cha kufanya nenda hospital or phamarcy yenye wataalam watakupati cream ya fungus utapaka, pia kuna vidonge inategemea ukubwa wa tatizo.
ILA ukiwa unatumia hiyo dawa zingatia usafi wa nguo zako za ndani kama ifuatavyo, ziloweke kwenye maji ya mto sana na uzifue zote hata kama ni safi,ukishindwa zifue na uzianike kwenye jua kali kwa muda mrefu,auzifue zikikauka zipige pasi kwa moto mkali,hii itaua wadudu wote walioko kwenye nguo zako,
cHA pili, badilisha chupi kila unapooga kisha ifeu na kuiinyoosha..
cHA tatu usirudie chupi na hakikisha mara nyingi unakuwa mkavu. Pia epuka maambukizi mapya ya fungus mfano kutoka kwa ulienaye au mashuka baadhi ya gest house wasizozingatia usafi,
Kwa kufanya hivyo kila siku, fungus hizo utazisikia kwa jirani maana zipo watu wengi zinawasumbua si wanawake wala wanaume.
GET WELL SOON!
Note; niliposema mashuka ya gest house simaanishi lazima wewe unakwenda huko huo nimetoa ushauri wa general.(wa pamoja) kwa kila atakae soma na kuona ushauri huu unamfaa.
Asante