Umefanya research na soko lipo mkuu ?
Wanywaji wa Coffee kwa bongo ni wengi ?
Je joto halitakuharibia biashara yako ?
Nadhani sababu ya market kuwa narrow ni vema kutokuji-limit na coffee pekee bali weka mgahawa ambao una refreshments tofauti tofauti ili uweze kupata watu tofauti, kama location ni nzuri na menu ni nzuri watu watakuja (weka soft drinks na snacks za kutosha as well as hot drinks)
Mambo ya Starbucks nadhani kwa bongo sio kwa sana ndio maana hata huko ughaibuni chips mayai sio kwa sana (inategemea nature na culture ya watu)
1- Tembelea katika viosk ama sehemu zingine amabazo wanatoa huduma kama yako, omba kuonana na wamiliki then waulize wao wamenunua wapi vifaa vyao na kwa kiasi gani? Pia waulize baadhi ya mambo yanayohusiana na biashara hiyo ambayo unapaswa kujua na kujifunza.
2 - Nenda posta na Kariakoo kama upo Dar Es Salaam kuna sehemu nyingi wanauza vifaa aina hiyo pamoja na vile vya mahotelini na migahawa. Kila la kheri.
mkuu hadi sasa sijapata kufahamu kama kuna local coffee shops kwani kwenye haya ma-mgahawa makubwa owners wake hadi uje uonane nao ni shughuli kidogo.
Ahsante
Pale Moshi Chama cha Ushirika(KNCU) wameanzisha yao na inafanya vizuri sana ingawa wateja wakuu ni watu wa nchi za Ulaya. Ingawa investment yake ni kubwa haswa upate watu ambao wako competent kuandaa kahawa ya quality ya hali ya juu, if possible wapeleke wakajifunze nje ambako wa utamaduni huu wa coffee bar. Jitahidi ufanye kitu cha tofauti ili u-convice hata wazawa waikubali hii huduma, ingawa hatuna mazoea hayo. Kwa ushauri wangu anza sehemu kama Arusha ukilenga watalii na pia kwa sababu ya hali ya hewa.