devcon
JF-Expert Member
- Feb 2, 2015
- 359
- 384
Wadau,
Ni matumaini yangu wazima na mnaendelea na shughuli zenu za kila siku.
Naomba msaada kwa yoyote anaejua jinsi ya kutengeneza icecream amabazo zinakua zenye ladha nzuri,rangi ya kuvutia na laini kwa kuzila hata kama zitaganda vipi mana kuna icecream nyingine zinakua ngumu kama barafu,pia nahitaji kujua namna ya kufanya mixing ya virutibisho na uwiano wa rangi ili niweze kulikabili soko.
Asanteni
Ni matumaini yangu wazima na mnaendelea na shughuli zenu za kila siku.
Naomba msaada kwa yoyote anaejua jinsi ya kutengeneza icecream amabazo zinakua zenye ladha nzuri,rangi ya kuvutia na laini kwa kuzila hata kama zitaganda vipi mana kuna icecream nyingine zinakua ngumu kama barafu,pia nahitaji kujua namna ya kufanya mixing ya virutibisho na uwiano wa rangi ili niweze kulikabili soko.
Asanteni