umehusika lipa mali za watu, wizi sio mzuriKipindi amelala aliskia watu wanagusa kitasa cha mlango wake.
Mara akaskia kama upepo unapuliza na dirisha kufunguka (dirisha ni la nyavu na nondo linafungiwa ndani) basi ndipo alipoona watu wakichukua simu na baadae wakibeba na computer mezani
Hii nmeielewa asee asanteMuulize maswali yanayohusu umbali na pia kiasi cha mwanga unaoruhusu kuona na kutambua.Nenda mahakamani na gazeti kaa umbali wa hatua tatu umwambie akusomee,akishindwa kusoma mtwange swali kuwa kama umeshindwa kutambua maandishi yaliyopo hatua tatu toka ulipo na kuyasoma uliwezaje kutambua sura yangu umbali mrefu na unaonekana una matatizo ya macho.Muulize technical questins.