Ushauri juu ya aina za tiles na picha zake kwa ajili ya nyumba ya kuishi na familia

Ushauri juu ya aina za tiles na picha zake kwa ajili ya nyumba ya kuishi na familia

lea

Senior Member
Joined
Nov 6, 2013
Posts
116
Reaction score
20
Habari!

Naomba ushauri juu ya aina ya tiles, zakuweka kwenye nyumba ya kuishi familia! Aina za tiles za kuweka sebuleni,dining ,vyumbani,jikoni na barazani.Budget ni ya mtanzania wa kawaida kabisa.
Asanteni
 
Habari ! Naomba ushauri juu ya aina ya tiles ,zakuweka kwenye nyumba ya kuishi familia! Aina za tiles za kuweka sebuleni,dining ,vyumbani,jikoni na barazani.Budget ni ya mtanzania wa kawaida kabisa.
Asanteni
Nenda kwenye duka la vifaa vya ujenzi lililo karibu mawe, kachague mwenyewe rangi unayoipenda.

Ili upate bei yenye unafuu, kaulizie duka zaidi ya moja! Na uchague mwenyewe tiles zinazo endana na mfuko wako.
 
Habari ! Naomba ushauri juu ya aina ya tiles ,zakuweka kwenye nyumba ya kuishi familia! Aina za tiles za kuweka sebuleni,dining ,vyumbani,jikoni na barazani.Budget ni ya mtanzania wa kawaida kabisa.
Asanteni
Siku 1 toka nyumbani nenda kwenye maduka ya vifaa vya ujenzi kufanya window shopping. Usisahau kalamu na notebook.

Kuna makampuni mbalimbali na tiles zao hutofautiana. Hapa TZ utasikia Goodone na Twyford. Ya nje utasikia mchina, mhindi, Spain, Egypt.

Kuna sizes mbalimbali, ni wewe kuamua unataka kuweka za size gani na wapi. Mfano, sitting na dining room unaweka za 50*50, vyumbani 40*40, chooni juu 25*40, chooni chini 30*30.

Bei pia zinatofautiana kulingana na sizes na pia makampuni. Kampuni A utaambiwa 40*40 ni sh elfu 25-33. Kampuni B utakuta size hiyohiyo ni sh elfu 39.
 
Siku 1 toka nyumbani nenda kwenye maduka ya vifaa vya ujenzi kufanya window shopping. Usisahau kalamu na notebook.

Kuna makampuni mbalimbali na tiles zao hutofautiana. Hapa TZ utasikia Goodone na Ywyford. Ya nje utasikia mchina, mhindi, Spain, Egypt.

Kuna sizes mbalimbali, ni wewe kuamua unataka kuweka za size gani na wapi. Mfano, sitting na dining room unaweka za 50*50, vyumbani 40*40, chooni juu 25*40, chooni chini 30*30.

Bei pia zinatofautiana kulingana na sizes na pia makampuni. Kampuni A utaambiwa 40*40 ni sh elfu 25-33. Kampuni B utakuta size hiyohiyo ni sh elfu 39.
Mkuu, kwa uzoefu wako, mtu wa kipato cha chini ungemshauri angalau achukue aina ipi ili apate ubora pia?
 
Quality ya tiles inategemea na mfuko wako. Kila tiles zikiwa bei kubwa basi ndio zinakuwa imara zaidi.

Ni vyema uende na fundi wa tiles ili aweze kukuelekeza vizuri. Kuna tiles huwa zinafutika baada ya muda mfupi tu (very low quality), kuna za ceramic (lowest quality), granite, marble....

Zile zinazon'gaa sana ndiyo hatari kuziweka kwenye floor maana mara zinakupiga mweleka sehemu ikiwa na maji. Tahadhari sana ukiwa na watoto au wazee ndani ya nyumba maana utaishia kutibu tu.

Sehemu ambazo wanapita watu mara kwa mara (kama corridors) ni vyema kuweka tiles za good quality. Halafu ununue za kutosha ili usijepungukiwa wakati wa kuweka ukaenda dukani unakuta zimekwisha za design ile unayotaka wewe.
 
Habari ! Naomba ushauri juu ya aina ya tiles ,zakuweka kwenye nyumba ya kuishi familia! Aina za tiles za kuweka sebuleni,dining ,vyumbani,jikoni na barazani.Budget ni ya mtanzania wa kawaida kabisa.
Asanteni
Mkuu tiles zipo aiana nyingi kikubwa zingatia bei kulingana na kipato chako kuna za mchina bei ni nafuu sana kulinganisha na mspain ambazo ndio imara zaidi mimi kama fundi na kushauri chukua za mchina View attachment 2346200
IMG_20220824_180328_2.jpg
 
Quality ya tiles inategemea na mfuko wako. Kila tiles zikiwa bei kubwa basi ndio zinakuwa imara zaidi.

Ni vyema uende na fundi wa tiles ili aweze kukuelekeza vizuri. Kuna tiles huwa zinafutika baada ya muda mfupi tu (very low quality), kuna za ceramic (lowest quality), granite, marble....

Zile zinazon'gaa sana ndiyo hatari kuziweka kwenye floor maana mara zinakupiga mweleka sehemu ikiwa na maji. Tahadhari sana ukiwa na watoto au wazee ndani ya nyumba maana utaishia kutibu tu.

Sehemu ambazo wanapita watu mara kwa mara (kama corridors) ni vyema kuweka tiles za good quality. Halafu ununue za kutosha ili usijepungukiwa wakati wa kuweka ukaenda dukani unakuta zimekwisha za design ile unayotaka wewe.
Yaani hapa umeeleweka sana
 
Back
Top Bottom