Ushauri juu ya Boom

Ushauri juu ya Boom

Khaaaa!!!! mimi nilifikir heslb imefanya yake....
Kumbe ni ushaur.... ok
 
2mekusoma bhana, wenye akili hawawez maliza miaka 3 au 4 wakipata boom bila hata kujenga slopu ya chumba na sebule!
 
2mekusoma bhana, wenye akili hawawez maliza miaka 3 au 4 wakipata boom bila hata kujenga slopu ya chumba na sebule!

naomba kila aliyesoma miaka mitatu au minne na kumaliza akusamehe, maana hujui ulisemalo mdogo wangu!! 600K (assuming hauli na haulipii chumba,hautoi copy yeyote, wala hununui kitu semester nzima) ujenge!?
 
2mekusoma bhana, wenye akili hawawez maliza miaka 3 au 4 wakipata boom bila hata kujenga slopu ya chumba na sebule!

Labda ukajenge matombo morogoro nyumba ya udongo, isiyohtaji mchanga wala cement, ila kwa nyumba za mjini, miaka mia huwez jenga kwa kutumia pesa ya boom
 
Asante mkuu binafsi nimekuelewa ila umenishtua nimefiri heslb imefanya sehemu yake bt all in all BARIKIWA
 
furaha ya kujiunga chuo kwa watu waliowengi hua ni kufaidi kodi zao na wengine husahau hata vilivyowapeleka chuo na kudata kwa fedha hiyo,ushauri fuata kilichokupeleka chuo=elimu,kama mapenzi kua makini na utayemchagua maana waweza ishia jutia maisha yako yote ya masomo ya juu hasa totoz za town waachieni wa town we kula kwa macho'utalia na kusaga meno...ka vp wekeleza na uanze biashara ndogondogo kwani wengi hukumbuka mwishoni ambapo hana ujanja huo tena...nawatakieni masomo mema wakuu...ila kueni makini na andaeni grounds za kujiajiri,au hata kuajiriwa mapema mtaani kumenuka watu tunasota kazi hamna,biashara labda kidogo kama una akili ya kuzaliwa...mafanikio mema
Pole kwa kupigika mtaani...soon utafanikiwa
 
Tahadhari!!!!!!!
Wale waliokosea kujaza fomu Mihela inaweza wachezea kando au wakapata kiduchu!!
 
2mekusoma bhana, wenye akili hawawez maliza miaka 3 au 4 wakipata boom bila hata kujenga slopu ya chumba na sebule!
Ingia uone shughuri yake afu ndo uje uyatamke hayo maneno yako hapa na utuonyeshe hicho kibanda ulichokijenga.
 
naomba kila aliyesoma miaka mitatu au minne na kumaliza akusamehe, maana hujui ulisemalo mdogo wangu!! 600K (assuming hauli na haulipii chumba,hautoi copy yeyote, wala hununui kitu semester nzima) ujenge!?

Ukute mtu kama huyu hajawah onja pesa ya mkopo,kwa upeo wake mfup anadhan n pesa nyiing ambayo haina matumiz,ishike mkonon na majukumu yakupate uone hata kama hyo plot utainunua.
 
furaha ya kujiunga
chuo kwa watu waliowengi hua ni kufaidi kodi zao na wengine husahau hata
vilivyowapeleka chuo na kudata kwa fedha hiyo,ushauri fuata
kilichokupeleka chuo=elimu,kama mapenzi kua makini na utayemchagua maana
waweza ishia jutia maisha yako yote ya masomo ya juu hasa totoz za town
waachieni wa town we kula kwa macho'utalia na kusaga meno...ka vp
wekeleza na uanze biashara ndogondogo kwani wengi hukumbuka mwishoni
ambapo hana ujanja huo tena...nawatakieni masomo mema wakuu...ila kueni
makini na andaeni grounds za kujiajiri,au hata kuajiriwa mapema mtaani
kumenuka watu tunasota kazi hamna,biashara labda kidogo kama una akili
ya kuzaliwa...mafanikio mema

Nimekuxoma ubarikiwe sana.
 
furaha ya kujiunga chuo kwa watu waliowengi hua ni kufaidi kodi zao na wengine husahau hata vilivyowapeleka chuo na kudata kwa fedha hiyo,ushauri fuata kilichokupeleka chuo=elimu,kama mapenzi kua makini na utayemchagua maana waweza ishia jutia maisha yako yote ya masomo ya juu hasa totoz za town waachieni wa town we kula kwa macho'utalia na kusaga meno...ka vp wekeleza na uanze biashara ndogondogo kwani wengi hukumbuka mwishoni ambapo hana ujanja huo tena...nawatakieni masomo mema wakuu...ila kueni makini na andaeni grounds za kujiajiri,au hata kuajiriwa mapema mtaani kumenuka watu tunasota kazi hamna,biashara labda kidogo kama una akili ya kuzaliwa...mafanikio mema

Kufaidi kodi ee? huo ni MKOPO NYIE VIJANA MSICHUKULIE KAMA MSAADA AU GAWIO, NI MKOPO UTAKATWA KWENYE MSHAHARA WAKO!
 
Back
Top Bottom