Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2013. Nimesoma HKL na ninategemea kupata B ya history, B ya kiswahili, na B ya language. Hivyo naomba ushauri wa faculty gani nzuri ya kusoma chuo ambayo haitanisumbua kupata ajira nikigraduate ( faculty iyo iwe tofauti na Education). Asanteni!
MUNGU AWABARIKI!
MUNGU AWABARIKI!