Ushauri juu ya faculty gani ya kusoma (kuchukua) chuo kikuu

Finder boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
608
Reaction score
150
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2013. Nimesoma HKL na ninategemea kupata B ya history, B ya kiswahili, na B ya language. Hivyo naomba ushauri wa faculty gani nzuri ya kusoma chuo ambayo haitanisumbua kupata ajira nikigraduate ( faculty iyo iwe tofauti na Education). Asanteni!
MUNGU AWABARIKI!
 
Kozi zote zinazohusiana na ungwini except business and economics.
 
We dogo wea z yo brain., neva count yo chicks b4 thy ar hachd.., matokeo hayajatoka ushajipangia ! Subiri matokeo.
 
We dogo wea z yo brain., neva count yo chicks b4 thy ar hachd.., matokeo hayajatoka ushajipangia ! Subiri matokeo.
hii itakuko-cost...badilika!!!
 
Kwa nini usisubiri matokeo ndo upange nini cha kufanya? Nyie ndo hamkawaigi kujinyonga matokeo yakitoka...
 
baba yako ni kati ya walio tunga mtihani?

nivizuri kuwa na confidence but it is too worse to be overconfidence

so try to be calm mdogo wangu
 
Kasome Medicine au Engineering ndiyo hutakosa ajira. Kama ulikuwa muoga wa kukosa ajira mbona ulikwenda kusoma mahistoria?
 
We dogo wea z yo brain., neva count yo chicks b4 thy ar hachd.., matokeo hayajatoka ushajipangia ! Subiri matokeo.

Punguza utoto hivi utakua lini lugha gani unaandika we dogo?
 
Subiri matokeo mtihani hausahishwi kwa mdomo ndugu yangu.
 
Dogo unajiamini sana,vp ulikua na paper nin?
 

Nyie ndio matokeo yakija vibaya mnajinyonga.
 
Hongera utapata Div 1.6
 

yaaani ukifaulu we n education tu wish all the best
 
Jamani nahitaji ushauri! Kuweka matarajio ya matokeo nikuwasaidia kunishauri faculty ipi nzuri kulingana na matokeo hayo, haimaanishi baba angu ndo anamark mitihani. Plz tuwe Great Thinkers kweli sio watu wakutoa maneno ya kejeli! Hey TANZANIANS where are we going?! Mungu atusamehe tunaotumia vibaya haki yetu ya kuchangia mawazo yetu, Mungu awabariki wanaotumia vizuri haki iyo! ASANTENI!
 
We dogo wea z yo brain., neva count yo chicks b4 thy ar hachd.., matokeo hayajatoka ushajipangia ! Subiri matokeo.

ok, nishauri kulingana na matokeo yaliyo kwenye uzi. Nachotaka kufanya nikujipanga!
 
Kwa nini usisubiri matokeo ndo upange nini cha kufanya? Nyie ndo hamkawaigi kujinyonga matokeo yakitoka...

kujinyonga nikuwa mfinyu wa kufikiri! Nahitaji ushauri juu ya faculty! Respond to the thread! Naomba ushauri wako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…