Habari zenu wanajamvi,natumai sherehe ya iddi pili imeenda vizuri.Nakuja kwenu leo nikitaka ushauri kama kichwa cha habari kinavyosomeka , nilisoma ECA na kwa sasa nipo katika zoezi la kuchagua fakati binafsi navutiwa sana na B.COM in accounts naomba sana ushauri wenu katika hili.kuhusu matokeo,nilipata daraja la pili
natumai mtanipa ushirikiano
NB:si kwamba sina marafiki au ndugu bali nataka tu ushauri wenu
Habari zenu wanajamvi,natumai sherehe ya iddi pili imeenda vizuri.Nakuja kwenu leo nikitaka ushauri kama kichwa cha habari kinavyosomeka , nilisoma ECA na kwa sasa nipo katika zoezi la kuchagua fakati binafsi navutiwa sana na B.COM in accounts naomba sana ushauri wenu katika hili.kuhusu matokeo,nilipata daraja la pili
natumai mtanipa ushirikiano
NB:si kwamba sina marafiki au ndugu bali nataka tu ushauri wenu
Ni mzuri lakini NonPriority
Hivi ww unajua maana ya fakati kweli?
mkuu hiyo siyo faculty ila ipo katika faculty ya Business.Hiyo ni course.
Back to the topic.: kombi yako ni nzuri ya kupiga BCOM in accounts kama cutoffpoints zako zinaruhusu kwenda Udsm.Kama haziruhusu either nenda Accounts TIA,IFM,IAA
Pia unaeza chagua BAF ya Mzumbe, Ardhi au ushirika Moshi.
#machaguo mema.